tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Leo lazma nimshike hata kalio,naelekea huko escape 1 ila hii mvua imeharibu mambo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamtetea tu dadako hamna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo lazma nimshike hata kalio,naelekea huko escape 1 ila hii mvua imeharibu mambo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamtetea tu dadako hamna
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Alituambia ana bwana wa kutoa mahari ya mil 500 keshapatikana
imekuwaje tena serengeti boy amechezea pubic air zake
wajameni?
Huyo informer bila shaka anajua KIINGEREZA vizuri.Wasalaam...
Habari za haraka zinasema yule mtangazi mzuri kuliko watangazi wote nchini na mwenye shape nzuri kuliko watangazaji wote africa mashariki na kati Diva "loveness" ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha mahaba Clouds Fm ametundikwa mimba na mtangazaji mwenzie Michael Lukindo a.k.a "informer"
Inasemekana kijana informer alitumia ule mwanya wa Diva kubwagwa hadharani na kugeuka kama mfariji wake na mwisho wa siku wakaangukia kwenye mapenzi huku wakifanya kazi ktuo kimoja...
Baada ya muda Diva alimwambia informer kuwa nina mimba lakini ndugu Michael alipokea habari hiyo kwa furaha na alikuwa kwenye process za kuacha kazi na kuanza kufanya muziki kama msanii...
Hongera sana Diva...
Ndugu infomer usimtelekeze DivaView attachment 744109
ilikuwaje mkuu ukala ban.. mi naitamani kweliHahaha nimesha achiliwa
AiseeLazima wanashindana sana kwenye lip balm sio kwa lips hizo
Wanaojisemaga wazuri banaaa sijui walidanganywa na nani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahaha mtangazazi mzuri kuliko wote?????? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848].....kaaazi kwelkweli
Wanaume na vioo ndio hudanganya wanawake!Wanaojisemaga wazuri banaaa sijui walidanganywa na nani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume nyie waongo sanaWanaume na vioo ndio hudanganya wanawake!
Mashost hutia chumvi tu!
Mwanamke anapenda kusifiwa. Hapo ndio wanaume hupitia. Wanawake asilimia kubwa hawapendi kuambiwa ukweli!Wanaume nyie waongo sana
Reserved playerAlituambia ana bwana wa kutoa mahari ya mil 500 keshapatikana
imekuwaje tena serengeti boy amechezea pubic air zake
wajameni?