Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam...
Habari za haraka zinasema yule mtangazi mzuri kuliko watangazi wote nchini na mwenye shape nzuri kuliko watangazaji wote africa mashariki na kati Diva "loveness" ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha mahaba Clouds Fm ametundikwa mimba na mtangazaji mwenzie Michael Lukindo a.k.a "informer"
Inasemekana kijana informer alitumia ule mwanya wa Diva kubwagwa hadharani na kugeuka kama mfariji wake na mwisho wa siku wakaangukia kwenye mapenzi huku wakifanya kazi ktuo kimoja...
Baada ya muda Diva alimwambia informer kuwa nina mimba lakini ndugu Michael alipokea habari hiyo kwa furaha na alikuwa kwenye process za kuacha kazi na kuanza kufanya muziki kama msanii...
Hongera sana Diva...
Ndugu infomer usimtelekeze Diva
Habari za haraka zinasema yule mtangazi mzuri kuliko watangazi wote nchini na mwenye shape nzuri kuliko watangazaji wote africa mashariki na kati Diva "loveness" ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha mahaba Clouds Fm ametundikwa mimba na mtangazaji mwenzie Michael Lukindo a.k.a "informer"
Inasemekana kijana informer alitumia ule mwanya wa Diva kubwagwa hadharani na kugeuka kama mfariji wake na mwisho wa siku wakaangukia kwenye mapenzi huku wakifanya kazi ktuo kimoja...
Baada ya muda Diva alimwambia informer kuwa nina mimba lakini ndugu Michael alipokea habari hiyo kwa furaha na alikuwa kwenye process za kuacha kazi na kuanza kufanya muziki kama msanii...
Hongera sana Diva...
Ndugu infomer usimtelekeze Diva