Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

Sidhani kama nilicoment before,ila nawaomba wenzangu tuache kuwa na chuki binafsi basi..
Kwani wale vijana waliwakosea nini mpaka wengine mkaanza na kuwalaani kiasi kwamba mpaka mapovu yakawajaa?
Piga kazi zako binafsi achana na mambo ya watu.Kila mmoja akifuatilia yake,sidhani kama kutakuwa na mtu atakayekaa na kusema ya mwenzake.

"Nlikuwepo":bolt:
 
mama naniliu wee zamadam waombee msamaha kwa baba watoto wako rugegeee
 
waswahili wanasema chezea mshahara usichezee kazi.... millard ayo majembe hayo yawahi mapemaaa kwenye redio yako ile....
 
hivi umeangalia tarehe ya hii post kweli?

Hahaha! mkuu jamaa kakurupuka vibaya sana! hawa ndiyo wale wanaosoma head na kuanza kucomment hajaangalia tarehe wa hajasoma uzi! Waafrica wavivu kusoma du!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…