Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

Wasiwasi Amekwenda Azam na Maestro Nae amekwishaondoka Nae pia Yupo Azam na Kuna Hatihati Muda Wowote Jeff Nae Akaondoka Kutimkia Zake Azam Tv. Shafii Kawatolea Nje Azam Japo Walimpa Ofa Nono Sana!!!!!!!!!!!!!!!!

Radio Clouds Kwishaaa kazi kama majembe yanaondoka hatariiiiiiiiiii.
 
Hakuna kuvunja sheria za ofisi wala nini, hapo inshu ni Salary.

Hapo wanakaa watoto wasio na matumizi makubwa au watu wanaofanya part time, na ukihoji kuhusu changes za salary unaonyeshwa mlango wa kuwafuata Fina Mango, Masud Kipanya, Gadner,...etc. Huyo ndo Ruge.., bhana mzee wa joto hasira.
 
Mie huwa siisikiliz hyo redio teena baad tu ya kuanz bifu na mtoto wa kike Jidee,sasa kama wamewato hao c ndo wameiua sasa
 
duh hata kama party time bado inatakiwa wapewe haki zao za msingi, kwa kazi nzur wafanyayo
 
Labda wamepewa dili nono na AZAM TV! Si ninasikia wanaredio pia mpya hawa watu na TV station pia? Vijana wa siku hizi wanaangalia ankara tu si kuuza sura. (Just thinking)

sidhani kama diva anaweza kuzuia maneno machafu toka mdomoni mwake mpaka aweze kufiti radio ya AZAM.
 
Adam, B12 mmetukana sana radio zingine sasa sijui mtaenda wapi masikini.

Jide anaanzisha radio yake mngeenda pale sasa Nyie ndo mliongoza mashambulizi kwake hawezi kuwaelewa.

Ushauri kwa Watu wengine ni kwamba usitukane mamba Kabla hujavuka mto.

Poleni sana ila najua lie show ya fiesta ilidoda ikasadikika ninyi ndo mlihujumu show Ruge kawaonea
 

Kwani nani alikuwa anawajua hawa watu before clouds fm kama ni watangazaji?

Ni clouds imemtengeneza B12 na wenzake, before that hawakuwako! So watatengeneza wengine cha msingi na discipline kazini bana!
 
Haaaahahaha(nacheka kwa dharau) diva u thought tht was ur fathers office uuh.? Ulizidi madharau mtaani tulikua hatukai. Tuone nyodo zako utazifanyia wapi..

Kama vip nenda kaombe kazi tff kwa uncle..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…