Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watapata kwingineee,Nay wa mitego ashapata mistari hapo ya kuimbaaaa
Mtoto wa Dionis Malinzi, kaka wa presidaa wa TFFmtoto wa Jamali Malinzi Prezidaa wa TFF
wangewafukuza tu
Na Dj Fetty je?
kiburudisho changu cwez kukifukuza
Waende wakaungane na Kepteein... sijui yupo radio gani ziku hizi...
Kumbe Nay si mwanamuziki? Yaani atungi mpaka litokee tukio, in short ni mvivu wa kufikiri.
Yupo anasimamia hoteli ya mkewe labda awaajili wawe mabaamedi
mtoto wa Jamali Malinzi Prezidaa wa TFF
Yamekuwa hayo? Hao ndio ntoleee tena sidhani kama watarudishwa,ndio maana Joseph kusaga anaachana nao ameenda kuweka makazi Abu dhabi na kuanzisha redio nyingine huku kushaaribika,Wasiwasi kashasepa Daaaa Clouds inakufa kama majembe yameondolewa kwishneyyyyyy!
Unajiita Kaka halafu unaandika hivi!!??Spellings za aina gani hizo eti hara,twangara halafu huachi nafasi mmmh hata kuandika Kiswahili unashindwa.Hebu muwe mnaandika vizuri aibu eti..
hehehehe,huwahurumii vijana wenzio???,watoto wa shule watakosa watu wa kuwapagawisha,,,heri yake MASOUD KIPANYA,
mtoto wa Jamali Malinzi Prezidaa wa TFF
Kumbe Nay si mwanamuziki? Yaani atungi mpaka litokee tukio, in short ni mvivu wa kufikiri.