Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

kwa mwanamke kupungukiwa na akili ni mbaya sana ...hata huwez kuolewa labda ajioe mwenyewe halafu hizo.hela azi deposit mwenyewe
 
Hv guys **** ya huyu Diva ipoje... Kwa waliopitia kule uvunguni kwake mtupe mresho... Maana DuuuuuH....!!!
 
Kwa thamani gan aliyonayo shubaaamiti akaolewa na kina rostam uko dadek
 
Huyu sio ajabu aliwapa kazi ya makadirio kina Oroso wa kamati ya makinikia kodi sijui trilioni ngapi ila hata kishika uchumba cha milioni moja hatujapewa
 
Basi si lazima aolewe, ataliwa nje ya ndoa tena bure tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…