Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Sasa kama ameachana na mpenzi wake ina maana yeye ni second hand - mtumnba. Hivi hiyo bei ni ya used au new brand?
 
Huyo Diva ana BIKIRA???
Kadogo kalikuwa kanamla bure keo anaanza kuuza!
Atoe laki tano tukamkojoleshe sio kumuoa!Used hiyo.
 
Mzee wake SI bado yupo magereza kwa wizi??hah tumpe million 500 akamalize kesi..sawa tumekusoma..
 
Hapa tz hakuna levo ya kuoa kwa hizo chapaa labda malaika ashushwe toka mbinguni
 
Mwanamke anaeolewa kwa mahari ya milion3 tu ni lzm awe mzuri naturally, kiukweli diva ni mbaya kiasili ndio maana anajitahidi kujiremba lkn waapi zaidi ya kujidanganya mwenyewe.
Pia mwanamke anaeweza kuinyakua mahari ya m3 lzm afya yke ya akili iwe sawa,sio wa sampuli ya diva nusu mental.
Anataka kupendwa kwa faida bila ya kujua wapendaji nao wanaume nao wanataka faida.chizi pekee ndo anaweza kujifaharisha na likes na coments za instragram.
 
Kwani Mahari ni yake? au ya wenye mamlaka ya kuidhinisha ndoa hiyo (mjomba au baba)? Mila na dini zinasemaje?
Elimu tafadhali, huenda mahari na mtaji zina maana sawa kwa tamaduni !!!!
 
Kwahiyo kile ki ben10 kilikuwa kinamgegeda kina huo mkwanja!? This nigress is so stupid!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…