Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 579
- 367
Sasa kama ameachana na mpenzi wake ina maana yeye ni second hand - mtumnba. Hivi hiyo bei ni ya used au new brand?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mia Khalifa!!fundi wa mafundiKusema kweli sijawah kuona mwanamke mbovu kishepu na kisura kama diva..yani hata avue nguo zote mbele yangu lazima nipige kwa kuvuta picha ya mia khalfa
FactBADAYE ATASEMA MAMBO YA MAHARI NI MILA POTOFU KIKUBWA MAPENZI
NYIE SUBIRINI TU
Ina TV ndaniNaona anachoringia yy mbona wenziwe wanacho au yake ya dhahabu
Under win-win situation.Yeah ame set standard zake, tunakubali, ila tuta bargain na pengine mpaka mwenye 1m akabeba, negotiation skills zinahitajika.
Kwahiyo kile ki ben10 kilikuwa kinamgegeda kina huo mkwanja!? This nigress is so stupid!View attachment 716779 Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva the bawse amefunguka kuwa hawezi akaolewa na mwanaume yoyote bila kutokew mahari ya shilingi milioni 500.
Hii sio mara ya kwanza kwa Diva kuweka kigezo cha kuolewa na mwanaume mwenye pesa mbele kwani mara nyingi amekuwa akisema kuwa hawezi akaolewa kwa mahari ndogo.
Siku ya jana kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amekumbushia Tena vigezo vikubwa kwa mwanaume ambaye atakubali amuoe ambavyo ni awe tajiri kiasi ya kwamba aweze kutoa mahari ya milioni 500 lakini pia awe anajua kuongea kingereza:
"Kunioa ni milioni 500….set that jokes aside am deadly serious….make sure uwe unaongea English yenyewe hasa… uwe smart uwe handsome…..uwe loaded…No broke niggas in 2018 tupendane kwa faida, you can say wheteves just heard worse, seen worse SMHFG Nothing mean to me…..harsh ain’t new to me I heard it all…..Mwenye povu hana hela ruksa na povu lako nina Omo na jiki plus toothbrush na Colgate jus there for you dummy”.
Diva ametangaza ruksa mwenye hizo sifa ajitokeze hii imekuja baada ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo fleva Heri Muziki baada ya kutoswa hewani.
Mpekuzi
[emoji23]Mmhhhhh wala asiwatishe wakuuu ,iyo nikauli yake.
Embu tumpe miaka mitatu mbele ,,, tutamzalisha bila hata kumuoa....
Mimi $3000Mmhhhhh wala asiwatishe wakuuu ,iyo nikauli yake.
Embu tumpe miaka mitatu mbele ,,, tutamzalisha bila hata kumuoa....
Mbn kicheko kikubwa[emoji23]