Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Mil 500 ya kuchora au ya kuchonga [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii ndio tabu ya wadada ambao wamejikuta tu wapo, hawana hata wazazi, enzi zetu mahari anapanga mzazi... Cku hzi mdada ametokezea mjini hana wazazi, so anajipangia mahari mwenyewe... Na anapokea mwenyewe...

Sawa!!
 
Hivi anajua milioni mia tano unamilik mabasi mangapi ya kusafirsha watu mikoani? Tena hata akiwa ni nusu yake hawez pata!! Ameamua kutajirsha wazaz wake kwa mahari?
 
2018 Kasema mahari M500

2022 atasema mahari M300

2025 atasema mahari M 100

2028 atasema mahari M10

2030 Ata andika uzi humu "natafuta mume " bila kuweka vigezo
Mmmh ww mbona unamwekea miaka ming sana? 2022 itakua bure tena akiwa kwa mzee wa upako akitaka kuombewa apate mume
 
hakuna wa kuoa watu wanajipigia kisela tu siku zinaenda tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…