Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

Yeye anazo mil 500/=? Kama hana kwa nini anataka kulazimisha kupewa za wengine? Afterall kama mwanamume mwenye akili siwezi kwenda eti kununua papuchi kwa bei ya mil 500/= Hizi papuchi zimejaa tele mitaani. Na papuchi ni papuchi tu, ili mradi sio mnduku
 
sema watu wengine wanajion wazuri kumbe hata mke wangu anamzidi tu huyu anayesema milion 500 anazijua au anazisikia tatizo VYUMA VIMEKAZA TUMEWEKA vilainishi lakini bado viamekaza ataambulia matusi tu kwa watu wana hasira na uchumu kwa sasa
 
Kuna mwenzake mmoja aliwahi kuwa na swagg kama zake, then mwisho wa siku alichuja hadi akaanza kumtongoza Dangote Aliko.....tehteehh
Leo hii naskia amekua matonya, anatembeza bakuli akiomba msaada wa dollar 7000

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio huyu huyu wa mahari milioni 500,leo 15 M zinamshinda anaanza kuomba kuchangiwa?,bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 716779 Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva the bawse amefunguka kuwa hawezi akaolewa na mwanaume yoyote bila kutokew mahari ya shilingi milioni 500.

Hii sio mara ya kwanza kwa Diva kuweka kigezo cha kuolewa na mwanaume mwenye pesa mbele kwani mara nyingi amekuwa akisema kuwa hawezi akaolewa kwa mahari ndogo.

Siku ya jana kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amekumbushia Tena vigezo vikubwa kwa mwanaume ambaye atakubali amuoe ambavyo ni awe tajiri kiasi ya kwamba aweze kutoa mahari ya milioni 500 lakini pia awe anajua kuongea kingereza:

"Kunioa ni milioni 500….set that jokes aside am deadly serious….make sure uwe unaongea English yenyewe hasa… uwe smart uwe handsome…..uwe loaded…No broke niggas in 2018 tupendane kwa faida, you can say wheteves just heard worse, seen worse SMHFG Nothing mean to me…..harsh ain’t new to me I heard it all…..Mwenye povu hana hela ruksa na povu lako nina Omo na jiki plus toothbrush na Colgate jus there for you dummy”.

Diva ametangaza ruksa mwenye hizo sifa ajitokeze hii imekuja baada ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo fleva Heri Muziki baada ya kutoswa hewani.


Mpekuzi
Kwani yeye ile "nyama" yake ni kilo 100 au robo kilo km sisi wengine??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utoe ml 500 jitu lenyewe halina uwezo wa .... si bora uanzishe ranchi ya mbuzi
 
Amesema hawezi kuolewa bila million 500 mi nataka awe mpenzi tu sitaki kumuoa!!!
 
Back
Top Bottom