DIVA, MCHOMVU&B-DOZEN hawajatimuliwa CLOUDS FM

DIVA, MCHOMVU&B-DOZEN hawajatimuliwa CLOUDS FM

time will tell...hata mimi naungana na wewe kuomba mungu iwe kama unavyotamani iwe kwani katika mazingira ya kawaida tu nikifungua xxl nikamkosa b12 huwa napata sababu tosha ya kuhama stesheni.

Kama ni kweli kuna utovu wa nidhamu umetokea na kiongozi wao hawakuwa tayari kuuweka utovu huo hadharani....labda ni serious ishu...na hata mimi na wewe sidhani kama tutamvumilia mtu anayekuharibia ndani ili hali picha yake nje ni nzuri na anasifiwa kila kona.

Ukimfumania mkeo na houseboy wako ndani kwako, utamchekea kwa kuwa tu majirani wote wanakusifia kuwa wewe ndiye mwenye mke bomba mtaa mzima ?

All in all....twangala anaweza kurekebika kama ni kweli amekosea....namuaminia sana huyu mchizi....ila clouds kuja kuunda tena timu kama hii...sio kazi rahisi...na yeyote atakayewachukua amelamba dume.

Popote watakapopokelewa hii timu basi kuna uwezekano mkubwa wakaenda na mashabiki wao...clouds wawe tayari kwa ushindani mzito kwenye hili.

....au huu ujio wa azam unahusika....labda jamaa wameahidiwa donge nono...wakaambiwa waharibu ili watolewe nduki.....kesho na keshokutwa tutawasikia wapo azam tv........fetty naye mbona hasikiki.....ni shidaa.....

.....wakimchukua tena na millard........uuuuwiii...

clouds media group ni attention seeker and time will tell.

Hakuna aliye fukuzwa wa kusimamishwa trust me.

Huu mchezo ni maalum kwa sababu maalum.
 
clouds media group ni attention seeker and time will tell.

Hakuna aliye fukuzwa wa kusimamishwa trust me.

Huu mchezo ni maalum kwa sababu maalum.

Kama ndivyo itakavyokuwa basi hata sitojali aliyevumisha hizi habari za kufukuzwa ni nani.......bado nahitaji kusikiliza hawa jamaa....
 
Na laani mtindo huu watu wanao fahamika fahamika hapa bongo kubuni vitu ambavyo wakati mwingine ni vya kijinga kwa lengo la kujiongezea umaarufu.

Uvumi ya kwamba clouds fm imewatimua vijana maarufu kwa utangazaji yaani b-dozen, adam mchomvu pamoja na diva ni taarifa za uongo na za kupuuzwa kama zilivyo taarifa nyingine za kipuuzi.

Kwa watu ambao wamekuwa wafuatiliaji wa sekta hii ya burudani mtakubaliana namimi kuwa si mara ya kwanza kwa Mchomvu kuandikwa kwenye magazeti kuwa amefukuzwa Clouds wakati katika hali halisi alikuwepo Arusha sababu ya likizo ya kikazi.

Nani asiyejua kuwa huu ni mwezi dume kibiashara? nani asiyejua kuwa hao vijana wapo likizo ya kikazi? Ruge una ubavu wa kuondoa hayo majembe matatu kwa mara moja? Halafu mbadala wao ni kina nani? Perfect? Phillip Mwihava? hahahahaahaha

Clouds fm acheni kuchezea akili za watu, umaarufu hautengenezwi kwa skendo zisizo na maana, hao vijana hawajafukuzwa ila wapo likizo. Umma umedanganywa ili wananchi wawe na hamu yakuja kuwasikiliza pindi vijana hao watakapo rejea.

SLIM SHADE


Devide and rule...
 
Na laani mtindo huu watu wanao fahamika fahamika hapa bongo kubuni vitu ambavyo wakati mwingine ni vya kijinga kwa lengo la kujiongezea umaarufu.

Uvumi ya kwamba clouds fm imewatimua vijana maarufu kwa utangazaji yaani b-dozen, adam mchomvu pamoja na diva ni taarifa za uongo na za kupuuzwa kama zilivyo taarifa nyingine za kipuuzi.

Kwa watu ambao wamekuwa wafuatiliaji wa sekta hii ya burudani mtakubaliana namimi kuwa si mara ya kwanza kwa Mchomvu kuandikwa kwenye magazeti kuwa amefukuzwa Clouds wakati katika hali halisi alikuwepo Arusha sababu ya likizo ya kikazi.

Nani asiyejua kuwa huu ni mwezi dume kibiashara? nani asiyejua kuwa hao vijana wapo likizo ya kikazi? Ruge una ubavu wa kuondoa hayo majembe matatu kwa mara moja? Halafu mbadala wao ni kina nani? Perfect? Phillip Mwihava? hahahahaahaha

Clouds fm acheni kuchezea akili za watu, umaarufu hautengenezwi kwa skendo zisizo na maana, hao vijana hawajafukuzwa ila wapo likizo. Umma umedanganywa ili wananchi wawe na hamu yakuja kuwasikiliza pindi vijana hao watakapo rejea.

SLIM SHADE
Tatizo wabongo tunapoambiwa jambo la kweli huwa tunahisi kama tunadanganywa na pale tunapodanganywa ndo huwa tunaona ni sahih,Ruge Mutahaba alisema Clouds Media Group imewasimamisha kazi watu hao kutokana na kukiuka taratibu za kikazi lakin leo hii wabongo mnaona mnadanganywa.Vilevile pia ni vigumu kwa Ruge kudanganya kuwa vijana hao wamesimamishwa kwa kosa la utovu wa nidham kwa sababu kosa ilo litaharibu taswira ya watangazaj hao mbele ya jamii.Pia si mara ya kwanza kwa Adam Mchomvu kusimamishwa kazi pale kwa kosa la utovu wa nidhamu.
NOTE:Kwa mujibu wa Ruge:Watangazaji hao hawajatimuliwa kaz baliwamesimamishwa kutokana na utovu wa nidhamu.
 
Hivi divaa aliishia na Prezoo,na Zito
Maana akambwaga Zitto kisaa Prezooo

Dada yetu Ana bahati mbaya, anachagua sana wanaume harafu wakipita mala moja tu hawarudii, ndiyo hao kina Mo Rocker, Prezoo nk, sijui wanakuta nn huko, kungekuwa na miba tungewaoa wanatoka wanachechemea.
 
Back
Top Bottom