MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Bora ya haoKumbe kuandika hawajui na urembo wote uho wanaojifanya waremboo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ya haoKumbe kuandika hawajui na urembo wote uho wanaojifanya waremboo
Ila wanataliwa wapigwe haswaaniwadangaji tu wamjini wala hawana maana hebu tuwasamehe kama onyo washalipata
kumbe kajukuu ka mzee bilikwija kasameheni tu babu yake alikuwa mtumishi mzuri sana wa umma, majaliwa hebu wachana na hii mambo utakuja funga wajukuu wa wasaidizi wakoMtangazaji wa Wasafi Fm Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika Barua za Kuomba Radhi (Kusamehewa) Baada ya Kupatikana na Tuhuma za Kuchangisha Michango kwa ajili ya Wahanga wa Janga la Kariakoo Bila Kufuata Utaratibu.
View attachment 3156868
Pia, Soma:
• Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
• Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
Baada ya Kutenda Makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) Walikamatwa na jeshi La Polisi kwa ajili ya Mahojiano na Wameendelea Kubaki Mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
View attachment 3156869
Hivyo Kutokana na Kutambua Makosa Yao Wote wawili KWa Pamoja, Wameandika Jumbe za Kuomba Radhi na Kuomba Kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.
Aahaha tapeli yule anajifanya yupo china af anawaambia watu tume pesa niwanunulie vitu kumbe anatafuta nauli ya kurudia na ukimfwata inbox anakujibu ovyoHuyo niffer aendelee kushikiliwa hata barua ameandika kwa dharau pia na haijanyooka waziri mkuu shikilia hapohapo adabu imwingie alijua anaweza kutupeleka peleka kama anavyompelekesha mama yake..
Unasadifu na akili yake leo nimeelewaMwandiko wa Diva unasound kama ngumbalo flani hivi
USSR
waliandika wakakataliwa?Wapelekwe mahakamani hilo ni kosa la uhujumu uchumi..
Kama kuandika barua manguruwe na kina JATU nao wapewe ruhusa ya kuandika barua nakuachiwa.
Umesikia wanaachiliwa lini uko?Diva amejua kunichosha, huu uandishi hata la 4 C hawezi, at least sasa naweza amini kweli Niffer alipita class. Uwiiiih
Sema Dah mwandiko wa diva🤣ni treni ya TRC ya zamani Ile inayopita mwananchiMtangazaji wa Wasafi Fm, Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika barua za kuomba radhi (Kusamehewa) baada ya kupatikana na tuhuma za kuchangisha michango kwa ajili ya Wahanga wa janga la Kariakoo bila kufuata utaratibu.
Pia, Soma:
• Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
• Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
• Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Baada ya kutenda makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) walikamatwa na jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano na wameendelea kubaki mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
Hivyo kutokana na kutambua makosa yao wote wawili kwa pamoja, wameandika jumbe za kuomba radhi na kuomba kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.
mmoja ni mjukuu wa malinzi na mwingine mjukuu wa bilikwija, yaani wote wajukuu wa wazee wa mjini, majaliwa atumie hekima
Diva mwandiko wake hauendani na ile sauti yake yakumtoa nyoka pangoni 😂😂😂 Nifah anashawishii...wawasamehee na wapongezwe kwa kujitoa..maana hata wao serikali, wamekimbilia kuchangisha baada ya kuona watu wamechanga...kosa ni la serikali, kwanini ? Kama wanaowajibu mchakato ungeenza mapema maana watu walihitaji hiyo misaada...Mtangazaji wa Wasafi Fm, Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika barua za kuomba radhi (Kusamehewa) baada ya kupatikana na tuhuma za kuchangisha michango kwa ajili ya Wahanga wa janga la Kariakoo bila kufuata utaratibu.
Pia, Soma:
• Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
• Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
• Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Baada ya kutenda makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) walikamatwa na jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano na wameendelea kubaki mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
Hivyo kutokana na kutambua makosa yao wote wawili kwa pamoja, wameandika jumbe za kuomba radhi na kuomba kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.
wameweka msisitizo 😀 😀 😀Waambiwe waandike mwandiko wa maandishi madogo.
Hizo capital letter ni kama wanatufokea.
Msamaha ukataliwe.
Mazingira mtu anayokulia ndiyo yanayom shape mtu jinsi gani ya kufikiria. Pia, mazingira yanayomzunguka na anayoyazunguka nayo yana shape kiwango cha mtu kufikri!Huyo niffer aendelee kushikiliwa hata barua ameandika kwa dharau pia na haijanyooka waziri mkuu shikilia hapohapo adabu imwingie alijua anaweza kutupeleka peleka kama anavyompelekesha mama yake..
Wallaih angalau Niffer you can tell yuko na kitu jamani ile hati ya Diva 🥶 ni baridiiiiKumbe kuandika hawajui na urembo wote uho wanaojifanya waremboo
WAMEFANYA KOSA LINALOFANANA HADI MIANDIKO INAFANANA...😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mtangazaji wa Wasafi Fm, Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika barua za kuomba radhi (Kusamehewa) baada ya kupatikana na tuhuma za kuchangisha michango kwa ajili ya Wahanga wa janga la Kariakoo bila kufuata utaratibu.
Pia, Soma:
• Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
• Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
• Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Baada ya kutenda makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) walikamatwa na jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano na wameendelea kubaki mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
Hivyo kutokana na kutambua makosa yao wote wawili kwa pamoja, wameandika jumbe za kuomba radhi na kuomba kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.