kuna askari alimsweka lupango mtoto wa chawene babake akasema apelekwe mahakamani ni mtu mzima alivyomfikisha sikuhiyohiyo hukumu ikasomwa akaachiwa, baada ya muda chawene akawa waziri wa mambo ya ndani askari alitamani kuomba uhamisho wa kwenda mbambabayJamal malinzi?
mwingine alimfyatulia risasi malima wakati kesi inaendelea akateuliwa kuwa RC kesi ikafa. ukiwa mjini njoo taratibu.