Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao ndo tunawasweka ndani, watu wanahangaika kutafuta mlo mmoja kwa sikuHuyo diva mbona anamwandiko mbaya hivo! Kama wa darasa la Memkwa!
Wangu mzuri kidogoKama wewe tu!
Kwa sasa ni mwendo wa barua tuBasi sawa, hii ipitishwe na iwe sheria rasmi kwamba mtu mwingine yeyote akitenda kosa pasipo kujua ama kwa bahati mbaya, anaweza akaandika barua ya kuomba radhi ili asanehewe.
Sio kwamba nina wachukia wala sipendi wasamehewe.... Lahhhh ninatamani kuona haki na usawa ikitendeka kwa WaTanzania wote, na sio kwa ukubwa wa majina ama umaarufu
Ana mwandiko mbaya mnoDiva anamwandiko mbaya aisee.
Hebu wako tuone 😂Comments za Wanazengo sasa🤣🤣🤣
Utakuta kuna watu hapa Miandiko yao ni mibaya wa Diva una afahali..Ila nao wameamua kumsema mwenzao😅
cocasticDiva amejua kunichosha, huu uandishi hata la 4 C hawezi, at least sasa naweza amini kweli Niffer alipita class. Uwiiiih
wewe akikusikia! she said "I HAVE A STRONG ARMY WITH ME"Mwandiko wa Diva unasound kama ngumbalo flani hivi
USSR
hilo la kuchangisha kweli inawezekana kuteleza na adhabu yake isiwe kubwa kinachoogopesha ni "I HAVE A STRONG ARMY WITH ME" Ina maana kuna watu wanaruhusiwa kumiliki majeshi!? unajua unaweza kulichukulia kiurahisirahisi tu hilo neno lakini likipuuziwa linaweza kuleta madhara makubwa sana mda wowote,na mbaya zaidi ni kama kejeli kwa kiongozi mkubwa wa nchiHuyo niffer aendelee kushikiliwa hata barua ameandika kwa dharau pia na haijanyooka waziri mkuu shikilia hapohapo adabu imwingie alijua anaweza kutupeleka peleka kama anavyompelekesha mama yake..
Ivi Manguruwe nae alikamatwa?Nadhani wapelekwe mahakamani kwanza, wakisamehewa Manguruwe, Jatu wasamehewe