Diva: Nimeshampata boyfriend mpya mwenye uwezo wa kulipa milioni 500

Yani na hiyo miwani ndio ameonekana mbaya zaidi.

Wanaume kazi kwenu
 

Jibu langu kwa hili laweza kuwa YES and NO! Huyu anaweza kuongea English nzuri ya vi sentensi vifupi vifupi ambavyo hata Harmorapa, Shilole, Giggy wanaweza ku rehearse wakakariri. Lakini kwa one-on-one serious interview kama ya Hard Talk kwa lisaa hata limoja tu, huyo ataomba poo na pumba zitakuwa kibao!

Hata hivyo hongera zake kwa kupata mchumba wa kulipa 500M. Nadhani wahenga walipatia waliposema 'Ndege wafananao huruka pamoja'. Kwa hiyo huyo 500M babe atakuwa wa type yake!
 
na rideo Lao la matangozo mengi ya biashara yaani nyimbo moja matangozo zaidi ya 10
 
na rideo Lao la matangozo mengi ya biashara yaani nyimbo moja matangozo zaidi ya 10
 
1. Milioni mia tano
2. 500,000,000/=

Kama bado ni ahadi;sawa.

Hata kama angekuwa na pesa kama Bakhresa, akitoa hiyo mil. 500 ataisikitikia mno kwa mtu kama Diva.
 
Yaani Pimp ndio wanaita meneja siku hizi?
 
Ule utafiti unaosema kila Watanzania wanne mmoja ana kichaa sasa nimeuamini
 
Kik katika ubora wake waaache wapange mahali alafu mwisho wa siku Mara oooooh Nina gundu Mara nimelogwa tatizo utundu kitandani ni ziro kabisa hakuna kitu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…