Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

Hatar mkuu.Kuna sauti zinatoa hamasa sana hasa wakat wa mchezo..
Ahaha.
Samahan lakin

Hee....! Mkuu unawaza mbali sana!....
Ila hata sisi ke tunavutiwa na sauti...kuna jamaa moja liko clouds kipindi cha michezo...mweusi tii...uwiiii🙊🙊!anaongoza kile kipindi...! Nimemsahau jina! Anahamasisha mno mno😅!
 
Hee....! Mkuu unawaza mbali sana!....
Ila hata sisi ke tunavutiwa na sauti...kuna jamaa moja liko clouds kipindi cha michezo...mweusi tii...uwiiii🙊🙊!anaongoza kile kipindi...! Nimemsahau jina! Anahamasisha mno mno😅!
Pale wenye sauti hiyo shafi dauda au Alex lwambano yupi sasa 😂😂
 
Pale wenye sauti hiyo shafi dauda au Alex lwambano yupi sasa 😂😂

Shafih hana sauti nzuri...kwanza anachabanga sana ngeli na kiswahili anaboa..anapenda kuongea "still bado"
Mayb ni Alex...ni mweusiiii. Ana kifua kipana hivi..niliwahi mwona mwenge famasi..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…