Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Dina marios ndoa imemshinda
Na kupika Yuko njema Tu
Diva ndo ataolewa maajabu haya
[emoji1][emoji1][emoji1]
Amtafute shilole Ampe mbinu zaHuyu ata bure sichkui mkuu.
Bibi mlezi wa wana uyo,
watt wadogo kibao washaluka nae sana.
Alaf alivyo nanuksi sasa wenzie wakilea vitoto vinawaganda ila ye always wanamkimbia.
HUenda ana makalio makubwaMtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi.
Chanzo: globalpublishers
Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu.HueNda ana makalio makubwa.
Na hzo shuhuli zake ndo zilimfanyaNdo maana throughout year yuko bize na party
Jana alikuwa na ya wapika chapati
Na hzo shuhuli zake ndo zilimfanya
Nchakali akabwaga manyanga
Na mada zake nyingi n kutoa wanawake wenzake kwenye ndoa
Yani anaparty Kama 3 Kwa mwaka huyu mama
Hahhah kweli mkuu,,Amtafute shilole Ampe mbinu za
Kulea vitoto
Eeeeh si mtoto wake Zion amezaa naKumbe alikuwa wa Nchakali ...
Huyu ni mmoja anayewaponza masingle mazeliiiiii
Yako ni bei gani eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah mjini pazito mweeeeh.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nuh n Kama kaonaHahhah kweli mkuu,,
Maana nuh alipita na diva miaka hio ya giza ,
Kipindi nuh hata hela kandambili hana analala kwao anakula kwao ila hata hamkumbuki huyo bibi.
Huku
Anamlilia shishi kila siku.
You got it right." DELUSION GRANDEUR: It is rareShe probably suffers from the mental disorder of delusions of grandeur….just sayin’.
Hahaha,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nuh n Kama kaona
Biashara ya shishifood imeshika
Moto vizur sasa anajuta kuachwa[emoji1][emoji1]
Kabsa yani now shilole kudangaHahaha,
Shishi mtu mzito sasaivi connection nyingi sana na watu wazito wa nchi hii,
biashara zimemnyokea,
hela ipo nyingi sana.
Sa Ukifkiria alikua X wako na we mambo bila bila bado lazma uchanganyikiwe.
Sio kufka bei mkuu yaniDiva haoni wa kumuoa kwa hiyo ili kuwahadaa watu ametaja mahari hiyo ili apate sababu ya kusema haolewi kwa kuwa hakuna aliye afford kumlipia mahari
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Maji ya jioni hayo kashajua hakuna wa kumuoa tenaMtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi.
Chanzo: globalpublishers
Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu.