GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #81
Nasikia sasa anaitafuta 51 au 53 Mkuu.Diva basi atakuwa anarange kati ya 35 mpaka 36 kama alivyomaliza six ndio akaanza kudate na kina pingu wa TipTop Connection! Kibongo bongo form six wanamaliza na miaka 20 hadi 21 na video yake ya Jonita imetoka 15 yrs ago.
View attachment 1818775
View attachment 1818776
View attachment 1818777
View attachment 1818778
Tsh 400/= tu ya Nauli yako kuendea Kazini Kesho Asubuhi huna ndiyo unaitaka Mbunye ya Diva ' worthy 10B Tshs ' Mkuu? au unataka kutolewa ' Kafara ' nae?
Nasikia Mbunye yake ni ' Ladhaless ' halafu ' imeshazeeka ' mno kwa mujibu wa Mtu wake Mmoja wa Kijitonyama halafu anapenda sana ' Vumbi Road ' ambapo huyu Jamaa nae ni Dereva Mzuri wa Kupitisha huko Gari lake fupi na Jeusi.
Sasa kiba ni mkubwa? Si ana 32 now? 1989.Diva age ya kina kiba uyo..
Blue kaanza imba ana miaka 16,
Hiko kibibi kilikua kishamaliza form six miaka hiyo.
Demu wamasela wa tiptop enz izo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee akili zako unazijua mwenyewe tyuuh.Nasikia Mbunye yake ni ' Ladhaless ' halafu ' imeshazeeka ' mno kwa mujibu wa Mtu wake Mmoja wa Kijitonyama halafu anapenda sana ' Vumbi Road ' ambapo huyu Jamaa nae ni Dereva Mzuri wa Kupitisha huko Gari lake fupi na Jeusi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna maneno lolKashakosa soko sasa anajifanya mahari kubwa kuonesha hakuna wa kumuweza kumbe mabaharia kwa kauli moja wamesema hata mahari ingekua sh 2500 hawaoi mwanamke mama yeye. Akae kwa kutulia anaisikia bilioni kwenye matangazo ya biashara ya CNN anadhani ni kama hela ya kununulia matope yake anayopaka usoni?
Kwanini Mkuu wangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee akili zako unazijua mwenyewe tyuuh.
Hiyo comment yako inachekesha sana daaah.Kwanini Mkuu wangu?
Kiba ana 32,Sasa kiba ni mkubwa? Si ana 32 now? 1989.
Ukiniambia Ali Kiba anaitafuta 45 au 47 sasa nitakubali, ila hiyo sijui 32 nakataa kabisa.Kiba ana 32,
Kiba mkongwe ndugu yangu.
Naijua hio familia toka mtaani muheza kariakoo,
Huo umri labda abdul mdogo ake..
Zabibu mdogo ake wa nne kamaliza form four 2009 mnazi mmoja..
Calculate
Hii mahari inabidi hata thamani ya kiwanda cha kusafisha dhahabu kilicho zinduliwa juzi tu na Mh Rais pale Mwanza.Mwaka jana alitangaza anahitaji mahari ya milioni hamsini sasa bei imepanda sijuianazidi kuwa kijana zaidi
Kweli kabisa mkuu kiba mkongwe mnoo.Ukiniambia Ali Kiba anaitafuta 45 au 47 sasa nitakubali ila hiyo sijui 32 nakataa kabisa.
Kama Ali Kiba akiwa na 32 hiyo basi Mimi GENTAMYCINE nitakuwa na 23 wakati Kiuhalisia sasa naitafuta 20 X 4 - 60 / 5 + 38.Kweli kabisa mkuu kiba mkongwe mnoo.
Vijana wa sasaivi vile anavyoshindanishwa na bwana diamond wanadhani ata umri wanalingana.
Diamond anafaham hilo ndo maana mara nyingi ana mua dress kama kaka angu ali..
Kama anatoa?anatoa tig.o?
Anataka Kununua Vocha kisha aipindue Simu yake aziingize na aweze Kupiga Mkuu.Kama anatoa?
Ile hiyo vocha ya B na kuendelea inaendana na thamani ya huduma za kifurushi?Anataka Kununua Vocha kisha aipindue Simu yake aingize na aweze Kupiga.
Bahati mbaya situmii Tigo Mkuu wangu.Ile hiyo vocha ya B na kuendelea inaendana na thamani ya huduma za kifurushi?
Kweli ni Bahati mbayaBahati mbaya situmii Tigo Mkuu wangu.
naoa bila tabuKama anatoa?