Diva: Wanaume wamezidi kunitongza, nabadili laini mara 7 kwa mwezi.

Diva: Wanaume wamezidi kunitongza, nabadili laini mara 7 kwa mwezi.

huyo a;liyempata kakubali kulipa ile mahari ya 500mil? au
 
Huyo ni mpumbavu tu nae ajitangaza ili apate mabwana,kubadili laini mara saba kwa mwezi? Shenzi type!!
 
Diva diva diva, acha basi uwongo dadangu, nishawahi kuwa na namba yako miaka 3 ilopita na nlikuwa nawasiliana naye ananipigia na mm nampigia japo si kwa mahusiano bali ni kwa kibiashara, biashara ilipoisha sijampigia tena. Nimeona huu uzi nikaibip hiyo namba ikaita nimejaribu kutest kutuma hela imeleta jina lako. Diva mwongooooooo
 
TCRA wamuhoji huyu binti kwasababu nafahamu you can register only 3 numbers per ID
 
Diva diva diva, acha basi uwongo dadangu, nishawahi kuwa na namba yako miaka 3 ilopita na nlikuwa nawasiliana naye ananipigia na mm nampigia japo si kwa mahusiano bali ni kwa kibiashara, biashara ilipoisha sijampigia tena. Nimeona huu uzi nikaibip hiyo namba ikaita nimejaribu kutest kutuma hela imeleta jina lako. Diva mwongooooooo
Loh kweli shuzi limepata mjambaji na mjambiwa
 
Muongo huyo namba zake tunazo ni zile zile hajabadilisha WhatsApp kila baada ya tym anabadili profile
 
Namba zake si huwa anaziweka hadharani yeye mwenyewe. Aache ufala.
 
Capture-55.jpg


Mtangazaji maarufu wa kituo cha Clouds FM, Diva The Bawse amedai kuwa baada ya kumwagana na aliyekuwa Boyfriend wake Heri Muziki amekuwa akipata usumbufu kutoka kwa wanaume hadi inakuwa kero.

Akifunguka kwenye mahojiano yake na Bongo5, Diva amesema kupitia simu yake ya mkononi amekuwa akipata meseji zaidi ya 2,000 kwa siku na zote kutoka kwa wanaume wengi wakimtongoza, kitu ambacho kila mwezi kinamfanya abadilishe laini zake mara saba.

“Maisha ya kuwa single ni mazuri ingawaje nimekuwa nikipata usumbufu mkubwa kwenye simu yangu yaani napata meseji zaidi ya 2,000 na zote kutoka kwa wanaume, kitu ambacho kinanipa wakati mgumu kwani wananifanya nibadili laini mara saba kwa mwezi,“amesema Diva.

Mbali na usumbufu huo, Diva amesema kuwa kwenye ukurasa wake wa Instagram pia amekuwa akikumbana na usumbufu kama huo DM.

Kwa sasa mrembo huyo amesema kuwa ameshapata mwanaume ambaye ndiye anaamini kuwa atakuwa baba watoto wake siku za usoni ingawaje amekataa kumuweka wazi kwa sasa.
Mimi at a simpendi akp kabint
 
Diva si wakutongoza amkatae mtu. Diva mwenyewe ndo huwa anatongoza wanaume so. Hata namba habadili. Hivi mtu usipompa namba yako ataipataje bana. Diva huwa anaitangaza namba yake kwenye kile.kipindi chake cha malavidavi. Sasa uki air namba yako public kwenye redio hata school boys lazima akuandikie meseji tu.
 
Hivi kumbe ndio mbaya hivi? Asie radio zinaficha mengi
 
Diva angekuwaga mzuri nyie wanawake mngetafutaga dunia nyingine
 
Back
Top Bottom