Nimefanya Kazi Vijiji Vingi Vya Nchi Yetu, Pasaka Nilikuwa Maruku Bukoba, Karamagi Alipata Wakati Mgumu Kuhutubia Mkutano Kwenye Shule Moja Ya Sekondari Ambayo Imeitwa Jina Lake, Wananchi Wanataka Jina Lake Liondolowe, Hakupata Mapokezi Ya Mafuriko Kama Ya Chenge Na Lowa-hasa, Ni Kweli Kuwa Wanachi Wengi Wanajua Kuwa Shida Kubwa Walizo Nazo Zimetokana Na Ufisadi, Hasa Bill Za Juu Za Umemme, Bei Ya Dizeli Na Kupanda Kwa Bei Za Vyakula, Sasa Hivi Nipo Vijiji Vya Lusewa Mkoani Ruvuma, Hawajui Mengi Kuhusu Ufsadi Ila Walisikia Kujiuzulu Kwa Mawaziri Kutokana Na Richmond, Magazeti Hapa Yanafika Labda Siku Walimu Wakienda Songea Kupokea Mshahara, Ila Ukweli Ni Kuwa Wamepoteza Imani Na Jk, Utawaona Vikundi Vikundi Wakizingira Mtu Mmjoa Mwenye Radio Katikakti Wakisikiliza, Wiki Ijayo Nitakuwa Shinyanga Huenda Nitapata From Horse Mounth Kulikoni Chenge Kupata Mapokezi Hayo, Jambo Moja Nidhahiri, Ukiangalia Kwa Makini Ile Picha Ukiacha Viongozi Wa Chama Ccm Amboa Nisehemu Ya Ufisadi, Wengine Ni Vijana Waliochoka Na Maisha Kula Kwao Taabu!!! Hivyo Siku Hiyo Kula Kwao Kulikuwa Kwa Chenge