Tetesi: Division 3.13 cbg ana weza piga CO

Tetesi: Division 3.13 cbg ana weza piga CO

Vipo vingi tu muhimbili,kule morogoro, mtwara sehem kibao tu pitia nacte uchukue ile PDF Utachagua mwenyewe ila kwani lazima asome hiyo C/O ?? Paple SUA kuna Course ya laboratory nzuri tu mbona kwa matokeo yake anaweza pata
 
Vipo vingi tu muhimbili,kule morogoro, mtwara sehem kibao tu pitia nacte uchukue ile PDF Utachagua mwenyewe ila kwani lazima asome hiyo C/O ?? Paple SUA kuna Course ya laboratory nzuri tu mbona kwa matokeo yake anaweza pata

Dogo ana taka atimize ndoto ngoja tuone kama ata fanikiwa
 
ni ivi ili usome co wanaangalia form 4 tu uwe na c chemistry , biology c na physics d hawaangalii form six na ni miaka 3 so tumia cheti cha form 4
 
ni ivi ili usome co wanaangalia form 4 tu uwe na c chemistry , biology c na physics d hawaangalii form six na ni miaka 3 so tumia cheti cha form 4

Na walio pata division three za kushuka 13 izo diploma wata tumia vyeti vya 4m4
 
Sio kweli! Diploma ya clinical officer wanaangalia Chemistry na biology tu. Kuna watu wamesoma CBG,CBN na CBA wamesoma hio nawafahamu

Labda Chuo chako km hajasom olev phys hana D asahau maisha yake yote kusom CO
 
Nina ndugu yangu kamaliza six cbg.chem-D bios-D geog-E ana taka diploma ya clinical officer ana weza pata kweli chuo???
Kwanini asisome kozi nyengine za afya kwa hyo diploma lazima asome CO?
 
kutokana na admission book ya Nacte ili mtu asome diploma ya clinical medicine wanataka CSEE na sio ASCEE tena vigezo vyake ni DDD tu kwa vyuo ambavyo havina ushindani kwa vyuo vyenye ushindani kama muhimbili ni CCD hivyo kama unataka kwenda diploma yoyote ya afya ni chet cha form four tu form six weka kabatini ila kama unataka kwenda degree yoyote ya afya ni form six (ACSEE) iwe na angalau principle pass za kuanzia D mbili yaani DDF au DDS au CDF au CDF yena ziwe za chemistry,biology na Physics,
Screenshot_20180715-075530.jpg
Screenshot_20180715-075802.jpg
 
Back
Top Bottom