Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aache zake.Like his brother, potentiality ya research udom is the main factor especially that anataka major in physics field. ( Research ndo kila kitu)
Hata angekuwa na 1V ualimu angepata.Chuo ni Kimoja tuu MuhimbiliSamahani wapendwa, mdogo wangu ana division two (10) PCB anataka kusoma education ( Physics and Chemistry) je anaweza kuwa admitted UDSM?
Exposure ndugu,sawa na miaka yetu mtu ukisoma egm tulikuwa tunaijua BCom tu...kumbe kuna koz nyingine kibao za maanaKuna Programm nyingi sana za maana ila kwanini watu mmekalili?
Kwamba Afya au Ualimu?
Specifically course Gani mkuu, and vyuo vipi pia?Bachelor za Afya ziko nyingi na vyuo vingi...Aombe pote.
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Nursing, Laboratory,Radiology,Pharmacy....Vyuo CUHAS,KCMC,MUHAS,UDOM....Specifically course Gani mkuu, and vyuo vipi pia?
2 ya 10 PCBShare something mkuu.
Samahani wapendwa, mdogo wangu ana division two (10) PCB anataka kusoma education ( Physics and Chemistry) je anaweza kuwa admitted UDSM?
It's true, mpk right now sjapata jibu ya nilichokiuliza, do you have any tips kama anaweza pata main campus pale lengo yeye ni kuja major in physics field.Daah maisha kila mtu anafanya anachokiona yeye kila mtu akisoma afya nan atakuwa mwalimu punguzen ushauri coz hamjui malengo yake ni yapi mtu kauliza anaweza chaguliwa ualimu udsm mnajifanya ety akasome afya afya je kama hayupo interested huko