Division two (10) PCB anaweza kupata ualimu UDSM?

Division two (10) PCB anaweza kupata ualimu UDSM?

Unapomushauri mtu hakikisha unajua na home background yake kwanza
Upo sahihi mkuu kuna kitu watu Bado hawajakielewa anaenda kusoma Bachelor of science in physics and chemistry na anaenda kusoma Bachelor of science ( physics & chemistry) with education they don't have the same advantage. Wote wanaweza kusoma masters of science in physics lkn mwenyewe education ana advantage Incase Mambo yakienda tofauti,
 
Hata huko udsm undergraduate publication kwenye journals ni non priority. Vyuo vyote vya Tanzania publication on journals inatiliwa mkazo from postgraduate studies.

Kwenye ualimu unataka kupublish nini.
Are you sure about that?
Because nmetumia nguvu nyingi sana on publication nkwa udom tofaut kabisa na ilivo UD they even have open journal, so I think you did not get under it.for you its easy to say
 
Muache dogo asome kitu ambacho anaona kina future kwake akihitaji ushaur asisite ni pm am also an expert in physics field.
All the best
 
Samahani wapendwa, mdogo wangu ana division two (10) PCB anataka kusoma education ( Physics and Chemistry) je anaweza kuwa admitted UDSM?
Usijaribu kumleleka Education mkuu ,utambaribia future aisee ,vipo vyuo vingi Sana,mdogo Wangu nilimpeleka mbeya akasomea afya kwa ufaulu Kama huo Sasa ni luten wa jeshi huwa ananishukuru ana alitaka kusomea education nikamkatalia kabisa

USSR
 
Publications kwenye reputable journals, are you serious? Ni lini wanafunzi wa undergraduate TZ wakawa na research za kupublish kwenye journals za kimataifa. Kuna member kakujibu zinazingatiwa kwa watu wa post-graduate.
Tuachane na hayo
1. Nafasi ya kusoma udsm main campus education unaweza kupata lakini jaribu kuomba na campus ya duce wako vizuri pia.
2. Usiibeze udom kwenye physics aisee mbona bachelor of physics inatolewa pale Kwaio wako vizuri tu nadhani.
3. Kwa maoni yangu st. Joseph University wako vizuri kwenye practical physics kwa sababu wale wahindi wana vifaa vingi kuliko hizi public universities (umesema unataka research based learning methodology) hope patakufaa pale.
Otherwise Goodluck.
Huyo kijana hataki kuelewa. Kiresearch chake uchwara undergraduate cha laki 2 anataka apublish reputable journal [emoji23].
 
KCMC, CUHAS na vyote vya serikali.
Vigezo anavyo ndio kusoma hivyo vyuo ila Competition itamuondoa mapema sana sikuhizi madogo wanaweka DIV I za 3,4,5 wengi mno mwaka jana kuna Dogo alikuwa na DIV I ya 9 akatarget CUHAS akatemwa
 
education physics hakuna ila ni Bsc ya science in chem and physics, kigezo ni two principal passes in Chemistry and Physics. In addition anapplicant MUST HAVE passes in Chemistry, Physics andMathematics at O’ Level.
Mbona kama unadanganya mkuu au hujaelewa anachomaanisha mtoa mada
 
Samahani wapendwa, mdogo wangu ana division two (10) PCB anataka kusoma education ( Physics and Chemistry) je anaweza kuwa admitted UDSM?
Mbona ufaulu mzuri kwanini asome ualimu wakati ajira zenyewe magumashi? Sijajua ufaulu upo vipi mwaka huu Ila mshauri akasome medicine kama vp...vyuo kcmc, bugando, muhimbili etc etc
 
Mbona ufaulu mzuri kwanini asome ualimu wakati ajira zenyewe magumashi? Sijajua ufaulu upo vipi mwaka huu Ila mshauri akasome medicine kama vp...vyuo kcmc, bugando, muhimbili etc etc
HAPATI
 
Anapata vizuri tu wengi wanakimbilia muhimbili na Udsm vyuo vingine vinakosa watu kama ana c mbili inaenda tu tena vizuri.
Aende St Joseph, Mwanza University, St Francis Kampala ambavyo sijavitaja sijui kama.atapata na huko awe na msuli wa Pesa sasa
 
Daah maisha kila mtu anafanya anachokiona yeye kila mtu akisoma afya nan atakuwa mwalimu punguzen ushauri coz hamjui malengo yake ni yapi mtu kauliza anaweza chaguliwa ualimu udsm mnajifanya ety akasome afya afya je kama hayupo interested huko
Huu ujinga wa kushikilia afya inasababisha, mafundi wa vifaa vya afya wanatokea Kenya..
 
Back
Top Bottom