Diwani apost picha zake za utupu kwenye grupu la whatsapp la bunge

Mods tuta huu uzi hauna uthibitisho
jana ilitokea ajali ya basi kuungua picha zimewekwa
imetoke ajali nyingine picha haziwekwi hii ni double standards

Tuukomeshe futa hii kitu mods
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
 
Sio huyo mwenye ujinga huo, mijitu kibao inamiliki picha za utupu kwenye simu zao,huo ni zaidi ya wazimu tu, zina faida gani?
 
Mods futa huu uzi hauna uthibitisho
jana ilitokea ajali ya basi kuungua picha zimewekwa
imetokea ajali nyingine picha haziwekwi hii ni double standards

Tuukomeshe futa hii kitu mods
sasa wewe picha za utupu zipostiwe jf?
 
Picha kuprove tunaweza zipata wapi mkuu
 
Msichana yeyote anayekuamini na kukupenda unaweza mphotowa unavyotaka ili hari anajua madhara yake
 

nimependa maelezo kwenye hii paragraph
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…