Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Hata jirani akiniita naenda, nikatae kwani nina ugomvi naye??
 
Nimesoma kote niambie panaposema kukataa kuhudhuria sherehe ya rais au kukataa teuzi ni uhani .ujinga muwe mnaficha .kina mbowe hawakuwahi kuwa na kiburi dhidi ya magu walidhan labda ataacha ujinga wake kwa kujua anaheshimiwa mbona mwishoni walimkatia mguu kabisa .mbona huwa wanaalikwa kwa barua kwenye uapisho wa rais hawa3ndi .chadema walitoka nje alipoingia bungeni magu kutomtambua kama rais mbona hawakushikwa .ujinga wako uufiche
 
Chadema walitoka nje akiingia magu bungeni mbona hawakupewa kesi ya uhaini
 
Hivi mkuu kutoka DGIS mpaka Chief of staff ni demotion kweli?[emoji848]
I think there must be something wrong au mama alipanga amshushe kiaina bila kelele.
Hawa wanawake wana ongozwa na visirani sometimes
 
Hii nchi bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu wa TISS leo anamka hana pa kwendaaa...!! Hana wa kumpa amriii labda afanye biashara zakee kama alikumbuka kufungua miradi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ninavyoona jamaa livutwa karibu iwe rahisi kumcontrol ila jamaa ana mambo yake so nahisi amegomra hiyo nafasii...! Ila kama hakugomea bhasi mama atamchapa ubaloziii ili asiwepo around kabisaa...
 
Appointments za hawa jamaa wakishaondoka au kuondolewa kwenye wadhifa, inakuwa very sensitive.
Wanaweza hata kupotea!
Wana siri nyingi mno.
Hapo hata wale wafuasi wake simu zao zinaunganishwa kuona Siri zinazotoka.

Hii ndio Ile tunayoanghalia kwenye movie za kijasusi.

Ila anajua kabisa kupotezwa ni nje nje
 
Hakuna mtu anayehudumu TISS na ambaye ni Member wa TISS akateuliwa kazi yoyote na Rais akagoma.

Rais atakuwa amestuka kuwa kumuweka Ikulu karibu yake mtu aliyekuwa anaendesha mission za kuonea wapinzani kutaathiri mipango yake ya zile R nne
Ina maana rais anateua bila kufanya vetting?
 
Mbona kama huyu jamaa alitumbuliwa na magu?
 
Hapo kuna shida katika kamati ya mapendekezo na teuzi. Vipi kuhusu washauri wa raisi hawakuliona hilo mapema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…