Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Umejuaje kama aliwahi kulima au umejuaje kama yuko interested na kilimo sasa hivi. Diwani pale Magu alipofariki alijua kabisa kile cheo hakai, surprisingly amekaa kaa kidogo tofauti na uzoefu wa medani ulivyoonyesha. Haijamshtua wala haijawashtua wenye medani yao kama alivyoondoka Modestus Kipilimba.

Na kwa common sense hapo ikulu huo ukatibu alikuwa amepewa kama stopgap
Kwa diwani sioni kitu ambayo itakuwa imemstua au kumfanya akatae nafasi eti kisa kashushwa. turejelee teuzi zake za nyuma hajawahi shushwa pindi alipoteuriwa kule kagera kuwa katibu tawala? hata hivyo rais anateuwa kutokana na mashauriano na mahitaji kwa wakati huo pengine baada ya masaa kazawakaza ya uteuzi ameona impendeze na kumteua mtu mwingine,
 
watu washakula bichwa..... bongo raha saana.
 
Uwezi kataa teuzi ya Raisi hata iweje.
Yule dogo aliyekuwa marketing manager kama sio zone manager wa Airtel kanda ya ziwa alikataa U-DC wakati Magufuli ameteua madc kwa mara ya kwanza umemsahau?
 
Si rahisi kihivyo, wengi wao huwa wanakuwa na compromat zao kwa mfumo wa dead hand.


Kuna mmoja aliwahi ondolewa na Magu, ile inatangazwa tu nyumbani kwake pakavamiwa,wavamizi waliiba kila document na computer zote huko Mbweni,baadae akarudishwa zinazomhusu tu
Namibia linaendelea kusambazwa kwa amani.
 
Ni TAARIFA za kweli Diwani Athumani aliyeteuliwa KUWA katibu mkuu Ikulu ametenguliwa na hajapangiwa nafasi NYINGINE anarudi kwao kulima.
mnapenda kushadadia vyakuletewa kwann usijiongeze ,kwamba au kataa
 
Back
Top Bottom