Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

The only alternative way is to neutralize him 😎 😎
Akumbuke yale ya Kombe Kule Moshi/Arusha
 
we mambo yako mengi ni ya kudhania na kusadikika. Nani kakuambia Chegeni alikataa uteuzi. Mbona una akili ndogo km K ya mjusi? Una shida gani kijana? Hakuna anayeweza nchi hii kukataa uteuzi wa Rais, elewa hivyo acha kujitungia mauwongo yako we pimbi. We huna unalojua kaaga kimya na jikubali kuwa uwezo wako ni mdogo sana kujadili mambo hayo.
 
Sio rahisi hivyo....Idara sio mtu mmoja. Mama ana washauri wengi wazuri sana...
 
Huyo jamaa ndie "spy chief" wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii. Toka amepewa "Top job" ya kimedani ndie mtu alieruhusu upuuzi na ujinga mwingi wa kimedani kiasi cha kushusha hadhi taasisi hii adhimu.
Huyo ndie aliruhusu watu kuteswa,kupigwa,kuuwawa katika awamu ya marehemu. Sio mtu wa kumpa sifa kama unazozitaja hapa.
Na mwisho ni kwamba hana ubavu wa kukataa uteuzi wa mtu alieapa kumtii na kumlinda.
 
🤣🤣
 
Watu wenye mamlaka wanachukia sana vitu viwili, usaliti na dharau. Hivyo vitu viwili sio rahisi kusamehewa.
 
Kwa sababu wengi wenu huwa mnawaza ndani ya Box...siwezi kukulaumu.

Ila sidhani kama unaelewa idadi ya vikao haramu,vinavyoitishwa mahoteli makubwa makubwa kila siku,wakati wengine tumelala!

Wewe unadhani unailelewa mitandao yote nchi hii?
Vikao viendelee kuitishwa, kwa siri. Ila kuna watu wanaipenda Nchi hii, wazalendo sana, Mama yuko vizuri.
 
[emoji1787][emoji1787]
Ninaelewa kwa sababu niliongea naye,alipima ukubwa wa biashara zake.

Akapima ukubwa wa maslahi ya u-RC!

Akapima mikopo aliyo nayo benki inayohusiana na biashara hizo.

Akaamua kusimamia biashara zake.

Kwa sababu akishakuwa mtumishi wa umma,angelazimika kuzikabidhi kwa mtu katika kipindi chote cha uteuzi.

Na hao sio wa kwanza kuukataa.

Mecky Sadick aliukataa pia uteuzi wa JPM na yupo mtaani hajawahi sumbuliwa.
 
Si umesema amekataa kusarenda mawasiliano na siri za serikali au ulikuwa unadanganya
Nimesema kuukataa uteuzi ni sawa na kukataa kusurrender communications zake.

Ili aanze kutumia identity mpya za Ikulu.
Sio siri za serikali,wacha kunilisha maneno yako.

Kuna paragraph hata moja nimeongea kuhusu neno "siri za serikali"?¿
 
Mamlaka ya Rais aliyonayo na hizi mahakama zetu zilivyo za kihuni. Diwani anaweza pigwa risasi mbele ya camera akirekodiwa live tena ikiwa asubuhi na msifanye lolote. Kesi ikaendeshwa kienyeji ikaisha.

Kafa Imran Kombe na kesi ya kipuuzi na cheo chake cha kijeshi sembuse huyu Diwani. Hizi story za kitoto kaa nazo nyumbani kwenu. He is a threat but not to the extent you guys are afraid of
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…