Hakuna hatari yoyote itakayompata, nae ni baba na familia. Kwa sasa ngoja apumzike kelele za wana njiwaKukataa uteuzi wa Rais anajiweka ktk hatari kubwa sana, nakwakatiba hii ilivyompa Rais mamlaka wanaweza mchomekea kesi nzito akafie gereza la ukonga
Acheni haya maneno mengi! Hayapendezi kabisa. Nchi hii viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama waliopo na wastaafu ni watiifu mno kwa Amiri Jeshi Mkuu. 🙏🙏🙏Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.
Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!
Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!
Diwani sio Kabudi au Lukuvi!
Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....
Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!
Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.
Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!
Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!
Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!
Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.
"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"
By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.
Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.
Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.
Alamsikhi
10101.
Sijui hua akipewa jina au ushauri hua anameza tu au anatafakari na kuuliza maswali?Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.
Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!
Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!
Diwani sio Kabudi au Lukuvi!
Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....
Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!
Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.
Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!
Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!
Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!
Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.
"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"
By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.
Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.
Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.
Alamsikhi
10101.
Kuna deep state wenyeweHizo hisia zako tu na uzushi hakuna mwenye ubavu wa kukata uteuzi wa rais. Mkurugenzi wa usalama wa taifa ni mtu mdogo sana hawezi kuwa hata tone ndani ya maji ya bahari. Hii nchi ni zaidi ya mtu awaye yote. Vilevile kumbuka rais ni mtu mkubwa sana nchi hii kwa mujibu wa katiba na hawezi kutishwa wala kukwamisha na limkuu wa idara moja ndani ya nchi yenye idara nyingi. Rais ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama, we mkuu wa idara moja tu ya usalama utatoa wapi kiburi? Hizo ni hisia zako tu rais anasimamia nchi yenye makomandoo na vyombo vingine vya siri. Sijui kama unaweza kukumbuka issue ya Imrani Kombe aliyekuwa naye mkurugenzi wa usalama wa Taifa. Alitaka kutumia uchaga wake kumsaidi mchaga mwenzake Mrema apate urais alichinjwa mchana kweupe.
Hakuna anayeweza kukataa uteuzi wa Rais, ni majuzi tu aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi Jenerali Venance Silvatory Mabeyo aliteuliwa baada tu ya kustaafu na hakukataa. Kwanza utaanzaje kukataa jambo la rais? Basi itakuwa hiyo nafasi aliipata isivyostahili, wale wanatakiwa wawe na utii wa hali ya juu usiotiwa shaka ya aina yoyote ndugu. Acha kumnenea uwongo.
Uteuzi na utenguzi hauna uhusiana na chadema wala Mbowe......Sijui hua akipewa jina au ushauri hua anameza tu au anatafakari na kuuliza maswali?
Diwani amefanya kazi nzuri sana awamu ya tano. Leo hii unakuta mbowe na genge lake ndio wanataka atoke TISS na mama anakubali na kumshusha hadhi.
Uongo wa akina mbowe umekolea hadi kiongozi dhaifu wa ccm anaamini.
Ccm haijafanya kosa kuwashinda kabisa chadema kwenye uchaguzi mkuu 2020. Wananchi waliona kile kinachofanywa na ccm ya magufuli na kuipa ccm kura karibu zote.
Yani amaketaa SAFE HOUSE kama IKULU(ulivyomaanisha) au SAFE HOUSE kama SAFE HOUSE?Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.
Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!
Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!
Diwani sio Kabudi au Lukuvi!
Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....
Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!
Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.
Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!
Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!
Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!
Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.
"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"
By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.
Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.
Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.
Alamsikhi
10101.
Kukataa uteuzi wa Rais anajiweka ktk hatari kubwa sana, nakwakatiba hii ilivyompa Rais mamlaka wanaweza mchomekea kesi nzito akafie gereza la ukonga
Yeye ndie anaewajua wanaostahili kupata Pay-back!
Halafu usiwe mshabiki wa Pay back sababu huyajui madhara yake!
Ohoooo Peter tena!!!!Suala la peter wa royal tour, halihusiki kweli?
Kutenguliwa balozi wa USA, na yeye kuondolewa kwake madarakani, huenda walishindwa kumpa mama siri na malengo halisi ya peter!
Nchi ngumu sana hii.
Maswali ni mengi kuliko majibu
Chegeni alikuwa na threat ipi ndugu?, Diwani mkurugenzi wa TISS ana rank kubwa, kumgomea Rais ni kujitia matatani zaidi.Katiba ndivyo inavyosema?
Diwani sio wa kwanza kuukataa uteuzi!
Hata Chegeni pia aliukataa uteuzi wa kuwa RC.
Very funny watu mnaonekana mna akili na wasomi mnapokuwa mnaamini idiotic ideas..Suala la peter wa royal tour, halihusiki kweli?
Kutenguliwa balozi wa USA, na yeye kuondolewa kwake madarakani, huenda walishindwa kumpa mama siri na malengo halisi ya peter!
Nchi ngumu sana hii.
Maswali ni mengi kuliko majibu
Kama yule jasusi mbobezi alitepeta baada ya kutikiswa na wenye system mpaka akakonda 🤣🤣🤣 japo alianza na kiburi sana baada ya kunyofolewa chamani akabakia anapiga majungu tu ya chini chini 😀 itakuwa huyo Diwani Athmani. Hakuna mtu anayeweza kuuzidi mfumo uwezo. Hakuna na hatatokea.Mamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.
Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.
Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.
kwa katiba hii kumchezea Rais ni kujipalia makaa bila sababu za msingi.... akasome ya Amrani KombeMwacheni Diwani aresti in peace baada ya kulitumikia Taifa wajameni!
Huyo ni jasusi wewe pimbi. Unafikiri akili ya kijasusi ni sawa na yako ya ya Kimwananyamala manjunjuUtoto mwingi, hana uwezo wa kukataa teuzi yoyote ya Rais.
Mzee wa goli la dk 89Kama yule jasusi mbobezi alitepeta baada ya kutikiswa na wenye system mpaka akakonda 🤣🤣🤣 japo alianza na kiburi sana baada ya kunyofolewa chamani 😀 itakuwa huyo Diwani!
Hakuna mbabe nje ya Cheo cha kitaifa. Unachekechwa vizuri tu na mdomo unaufyata.
Hahahha jamaa alikuwa na mikwala kama Putin yani na watu wakawa na image eti Jasusi mbobezi. Wanaume wakamtia kambani tu hakuna cha dk 89 wala nyoko mdomo umefunguka baada ya yule kima aliepiga magoti hadi white house kuanza kelele baada ya mazishi🤣Mzee wa goli la dk 89
Na yeye ana mamlaka, ndiyo maana kachukia dharau za kuwa mgonga HANGER na MAPAZIA ikulu.Watu wenye mamlaka wanachukia sana vitu viwili, usaliti na dharau. Hivyo vitu viwili sio rahisi kusamehewa.