Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
Achaneni na uongo uongo na kupamba maneno ya uchonganishi nyie.
Eti amekataa uteuzi, mbona alipoondolewa kutoka DCI kwenda kuwa RAS hakukataa?
 
Kama ilikuwa collective responsibility ni rahisi Sana ukiwazacho!

Lakini kama system into blocks and divided into emotions hard to happen na kama it happen it will bring chaos in the system !!

Kiasi Kwamba hata chupi za chumbani za baba na Mama zitaletwa sebuleni for the kids to see!!

Personal view after digestion of the stuff!
Kweli !
 
Mamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.

Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.

Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.
Hivi mkuu Stuxnet baada ya kumjibu jiwe kuwa amekuinua siku ile pale butimba, alikupeleka wapi? maana sijakuona tena.
 
Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
Potelea mbali genge la wauaji siyo la kusifia huyo muaji abaki huko huko sukuma empire.
 
Kukataa uteuzi siyo kumtunishia misuli Rais!

Kuukataa uteuzi ni haki ya kikatiba!

Kuteuliwa huwa sio amri bali utashi.

Hata Raphael Chegeni aliukataa uteuzi.

Hata aliewahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza aliwahi kuukataa uteuzi wa JPM.

Halafu uelewe kwamba sio kila mtu yuko individual.

Watu huitana vikao kabla ya maamuzi kama hayo!

Usijenge dhana isiyokuwepo.
Umewahi kupata mafunzo yoyote ya vyombo vya ulinzi na usalama? Tunaojua (nimeshiriki mafunzo yaliyokuwa yakiendeshwa na NATO). WATU WOTE WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HAWAWEZI KABISA, NA HAIWEZEKANI, UKATAE AMRI YA MKUU WAKO. NA KAMANDA MKUU KULIKO WOTE WA VYOMBO VYA ULIMZI NA USALAMA NI AMIRI JESHI MKUU. UKIAMBUWA CHOCHOTE NI AMRI.

Wanaoleta habari za sijui kukataa, wapuuze tu, hawajui chochote.
 
Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
An exit strategy
 
akubali yeisha vinginevyo ni kujitia matatani bila sababu za msingi, tulimng'oa yule wa mtemi wa bungeni sasa itakuwa huyu? !! yaani mpaka sasa hivi hana cover yoyote ile kwa hiyo siyo threat kwa taifa... upo mzee... yaani ni raia kama raia wengine wa Tanzania.

awe mpole tuijenge nchi yetu.. !!
Huyo wa mtemi unamkusudia yule alietupa story ya mke wake yesu sio.
 
Siku hizi Wakuu wa Usalama wameshawekwa mfukoni ..... Wanabadilishwa same as \Wakuu wa Wilaya na Mikoa.

Those days it was almost unthinkable .... mpaka wanaretire ndiyo wanatoka madarakani. Lakini this time around ndani ya miaka 5 Wakuu wa Usalama 4 .... Tatizo liko wapi!!?
Possibly mmomonyoko wa maadili; tunazidi kupoteza maadili with time
 
Nchi hii, watu huwa wanapenda kukuza sana mambo. Utasikia, ooh mkurugenzi wa Taifa ana siri zote nzito za nchi hii! Upuuzi mtupu.

Yaani mtu mwenye akili timamu kabisa uamini kuwa mkurugenzi wa usalama wa Taifa anajua siri nyingi nzito za Taifa kumzidi Rais.

Mkurugenzi wa usalama wa Taifa amepewa kakitengo tu ndani ya usalama wa nchi. Na anaripoti kwa Rais. Kuna IGP, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais. Kuna CDF, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais.

Lakini wapo pia watu maalum wanaofanya ujasusi wasioripoti kwa IGP, kwa CDF au Mkurugenzi wa TISS, ambao wanaripoti moja kwa moja kwa Rais. Hata mkurugenzi wa TISS, IGP na CDF wanafanyiwa ujasusi pia ili kuwa na uhakika kuwa wakati wote wapo kwenye mstari.

Halafu mtu anatoka huko anaropoka eti mkurugenzi wa TISS ana siri nyingi, kama vile ana uelewa wa mambo mengi kumzidi Rais ambaye anapokea taarifa mbalimbali toka kwa vyombo vingi vya ulinzi na usalama.

Achaneni na hekaya za Abunuasi kusema kwamba Diwani amekataa uteuzi wa Rais. Hayo ni maneno ya watu wa vijiweni wasio hata na ABC ya hiyo idara aliyokuwa akiiongoza Diwani. Kwa kadiri ya kiapo cha hawa watu na kwa nature ya kazi yao, hawaruhusiwi kukataa order yoyote toka kwa Rais. Akifanya hivyo ni sawa na uhaini.

Huyu bila shaka kuna makosa amefanya, akashushwa na kupelekwa karibu ili achunguzwe zaidi mienendo yake. Huenda ndani ya muda mfupi wa uteuzi kuna taarifa mbaya zaidi zimemfikia mkuu wa nchi kiasi cha kuonekana kuwa hafai hata kwa nafasi hiyo au pengine anafikiriwa kwa nafasi tofauti na hiyo.

Watu wanapiga maneno maneno tu hapa, wanadhani the Presidency ni kitu cha mchezo.

Alisema Salmin Amour, "Chezea ndevu, Usichezee Dola", mtu kama Diwani atakuwa wa kwanza kujua kuwa Dola haichezewi na mtu yoyote.
 
Back
Top Bottom