Dola ikishakutema imekutema tu, Rais ndiye mkuu wa dola na kwa katiba yetu hii hamna kingine tena - wanasema yeshaishaaa hayooo.Huyo ni jasusi wewe pimbi. Unafikiri akili ya kijasusi ni sawa na yako ya ya Kimwananyamala manjunju
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola ikishakutema imekutema tu, Rais ndiye mkuu wa dola na kwa katiba yetu hii hamna kingine tena - wanasema yeshaishaaa hayooo.Huyo ni jasusi wewe pimbi. Unafikiri akili ya kijasusi ni sawa na yako ya ya Kimwananyamala manjunju
Na mimi nitakufa lakini sasa hivi aliyemteua hayupo, atulizane!Ajakufa ikifika muda wake hata wewe na mimi tutamfuata tu au upo duniani milele?
Hovyo kabisa, Chegeni ashachinja ng'ombe na kufanya sherehe kijijini Mkula afu aukatae uteuzi? Huna unalolijua.Katiba ndivyo inavyosema?
Diwani sio wa kwanza kuukataa uteuzi!
Hata Chegeni pia aliukataa uteuzi wa kuwa RC.
Kumbe kuna tofauti kati ya TPDF NA JWTZ[emoji15]Hakuna Jasusi mbele ya Raisi, CDF, TPDF na JWTZ kwa ujumla.
Wazushi sana hawa, aliondolewa yule Ernest Mangu, akawekwa kando kwanza then akateuliwa kuwa balozi na hakukataa.Hana uwezo wa kukataa. Rais kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, ndiye kamanda mkuu, na hawa wengine ni recruits. Kila wanachoambiwa, ni lazima waitikie, 'Ndiyo Amiri Jeshi Mkuu'.
Kumpoteza mtu kama huyu basi atakuwa kiazi yeye mwenyewe.sasa hapo ndo unapofeli.
chegen alikua na mamlaka gani kwenye usalama wa nchi.
huyu ni shushushu na ana siri nyingi sa watu.
watampotezea na atachanganyikiwa
Kila mmoja anataka aonekane yeye ni mjuvi wa mambo nyeti ya SI RI KA RITATIZO LA MITANZANIA KILA MTU ATASEMA LAKE TENA KWA SENTENSI NZITO NZITO.MUWE NA TABIA ZA KUSUBIRIA SIO KUSHINDANISHA MIHEMKO KAMA MFANYAVYO.
😂😂😂 Mtu kama huyu naye anajiona amejenga hoja. Tuwahurumie tuKumbe kuna tofauti kati ya TPDF NA JWTZ[emoji15]
Huyu jamaa si alitumbuliwa na magufuli?Kiuhalisia kuna kundi liko TISS linalomuingiza chaka mteuzi.
Kwanza kiutaratibu,alipaswa kumstaafisha kisha ndio ampatie uteuzi.
Halafu kiuhalisia hawa maafisa wa ngazi hiyo,huwa wanaishia kupelekwa ubalozini.
Hii maana yake ni kuwa Disconnect na mfumo.
Na kwa wale ambao huwa wamestaafu kisheria,huwa bado wanakuwa karibu na kitengovkama washauri.
Hata wateuzi mara nyingi hiwatumia pale wanapotaka kufanya verification ya jambo fulani nyeti.
Sasa mama yeye anatengua kwa nia fulani,halafu anakupeleka Ikulu ili utazamwe 24×7.
Huyu amelitambua hilo,na hii itamsumbua sana kichwa mteuzi.
Ngoja wajiliwaze na January hii[emoji23][emoji23][emoji23] Mtu kama huyu naye anajiona amejenga hoja. Tuwahurumie tu
Na yeye ni jasusi mbobezi!!!!Huyo ni jasusi wewe pimbi. Unafikiri akili ya kijasusi ni sawa na yako ya ya Kimwananyamala manjunju
Kwanini achomekewe kesi?,mawazo ya wapumbavu hayoKukataa uteuzi wa Rais anajiweka ktk hatari kubwa sana, nakwakatiba hii ilivyompa Rais mamlaka wanaweza mchomekea kesi nzito akafie gereza la ukonga
Nao unakua wewe. Eti umtemee mate.! Akili za vijana wa bavicha hiziMamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.
Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.
Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.
Acheni mambo ya kitoto, amekataa ku-surrender siri na mawasiliano ya serikali? Acheni utoto nasema tena. Na msiandike mambo msiyojajua. We unaelewa maana ya serikali kweli? Tuwe srious ktk maana mambo mengine ni very sensitive sana hata kwa akili ya kawaida tu hata ungeambiwa jambo km hilo na babako usingekubali.Si umesema amekataa kusarenda mawasiliano na siri za serikali au ulikuwa unadanganya
Mamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.
Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.
Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.