Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

..lakini sio mara nyingi na kwa uzembe kama sasa hivi.

..baada ya uteuzi wa yule kijana uvCcm kuwa DG wa Tpdc ungetegemea wawe waangalifu zaidi.

..wakuu wa usalama wakiondolewa huwa wanakuwa mabalozi au wakuu wa mikoa.
Mkuu hebu tupe na uzoefu kwa wenzetu huko majuu, nao wakitenguliwa huwa mabalozi? Mimi naona tunaitumia vibaya sana hii nafasi ya ubalozi..
 
Sijui hua akipewa jina au ushauri hua anameza tu au anatafakari na kuuliza maswali?
Diwani amefanya kazi nzuri sana awamu ya tano. Leo hii unakuta mbowe na genge lake ndio wanataka atoke TISS na mama anakubali na kumshusha hadhi.
Uongo wa akina mbowe umekolea hadi kiongozi dhaifu wa ccm anaamini.
Ccm haijafanya kosa kuwashinda kabisa chadema kwenye uchaguzi mkuu 2020. Wananchi waliona kile kinachofanywa na ccm ya magufuli na kuipa ccm kura karibu zote.
Mtafungasha moja baada ya mwingine...Dunia Kijiji
 
Siku hizi Wakuu wa Usalama wameshawekwa mfukoni ..... Wanabadilishwa same as \Wakuu wa Wilaya na Mikoa.

Those days it was almost unthinkable .... mpaka wanaretire ndiyo wanatoka madarakani. Lakini this time around ndani ya miaka 5 Wakuu wa Usalama 4 .... Tatizo liko wapi!!?
Je wakuu wa usalama wa zamani na wa sasa wanafanana kiutendaji?
 
Apson, Kombe, na Rashid wamestaafu at full term!, Kipilimba, na Diwani ni wameondolewa kabla ya full terms. Full terms za constitution officers ni 65 years.
Hawa ni Rais wa JMT, Spika, Jaji Mkuu na Majaji Rufani, CAG, CDF, Gavana wa BOT, Wenyeviti wa NEC, Maadili, Msajili vyama, CS na Staff Officers, Wakuu wa vyombo vya Ulinzi.

Kama wakati wanateuliwa kushika wadhifa huo, watakuwa na umri wa chini ya miaka 50, then full term yao ni two terms za 5 years then wanastaafu kwa mujibu wa katiba.
P.
Ndio faida ya kuwa na wazee humu ndani,

Ila sasa mnajishushaga heshima na nyuzi zenu za kula kimasihara🤔🤔🤔🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Je wakuu wa usalama wa zamani na wa sasa wanafanana kiutendaji?
Don't know.

Lakini kwa maendeleo ya sasa kwenye technology, elimu na exposure nategemea watendaji wa sasa wawe wazuri kuliko wa zamani. Labda kama wanashindwa kwenye maeneo mengine i.e. leadership, integrity etc.
 
Mkuu

Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?

Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?

Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?

Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?

Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!

Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?

Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!


Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!

Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?

Simuoni siku hizi mitandaoni!

Alitakiwa astaafu kwa manufaa ya uma, maisha yaendelee.
Hiyo ndiyo iliyokuwa njia rahisi na ya heshima na maelewano kumbadilisha.
 
Mkuu

Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?

Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?

Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?

Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?

Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!

Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?

Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!


Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!

Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?

Simuoni siku hizi mitandaoni!
Nakwambia hakuna kitu kama hicho Samia is there to stay mpaka 2030 niko pale

Hii ni ccm mkuu hakuna mkate ngumu mbele ya chai🙏🙏
 
We acha hiyo .... Bongo wanakaaga tangu lini?

Huo uteuzi ulikuwa ni namna tu ya kumuondoa ofisini kimahesabu .... Wenyewe wanaiita "Horizontal Drop"
Siyo vertical drop kama ngedere akiyekosea mahesabu ya kuruka from tawi moja kwenda lingine? [emoji12] [emoji12]
 
we mambo yako mengi ni ya kudhania na kusadikika. Nani kakuambia Chegeni alikataa uteuzi. Mbona una akili ndogo km K ya mjusi? Una shida gani kijana? Hakuna anayeweza nchi hii kukataa uteuzi wa Rais, elewa hivyo acha kujitungia mauwongo yako we pimbi. We huna unalojua kaaga kimya na jikubali kuwa uwezo wako ni mdogo sana kujadili mambo hayo.
Awe msomaji kama mimi😂
 
SI ajabu kukata uteuzi.hata wakati magufuli Kuna jamaa huko mwanza kutoka kampuni ya simu alikataa.
Labda nafasi aliyoshika ndio inaleta maswali
Yule ni Sikonge huko, siyo Mwanza
 
Back
Top Bottom