Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Kwa diwani sioni kitu ambayo itakuwa imemstua au kumfanya akatae nafasi eti kisa kashushwa. turejelee teuzi zake za nyuma hajawahi shushwa pindi alipoteuriwa kule kagera kuwa katibu tawala? hata hivyo rais anateuwa kutokana na mashauriano na mahitaji kwa wakati huo pengine baada ya masaa kazawakaza ya uteuzi ameona impendeze na kumteua mtu mwingine,
 
watu washakula bichwa..... bongo raha saana.
 
Uwezi kataa teuzi ya Raisi hata iweje.
Yule dogo aliyekuwa marketing manager kama sio zone manager wa Airtel kanda ya ziwa alikataa U-DC wakati Magufuli ameteua madc kwa mara ya kwanza umemsahau?
 
Namibia linaendelea kusambazwa kwa amani.
 
Ni TAARIFA za kweli Diwani Athumani aliyeteuliwa KUWA katibu mkuu Ikulu ametenguliwa na hajapangiwa nafasi NYINGINE anarudi kwao kulima.
mnapenda kushadadia vyakuletewa kwann usijiongeze ,kwamba au kataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…