Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wabunge hawafi?
Wacha idadi ya masheitwan ipungue nchiniMabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.
Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.
Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.
Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.
Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
RIP Mh Dotto! Hivi ni Dotto nani na alikuwa anaishi eneo gani hapo Igusule? Maana nimewahi kuishi Nzega na nilimalizia elimu yangu ya msingi katika Shule ya Msingi Igusule, huenda nikamfahamu...Mabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.
Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.
Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.
Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.
Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Basi na uchaguzi usifanyike wateue mwingine. Sote tuseme ameenMabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.
Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.
Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.
Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.
Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Jikinge mzee huu ugonjwa hauchagui haubagui ukikufika au ukimfika mtu wako wa karibu ndio utaelewa. RIP wote waliotangulia hili ni janga la dunia sio mtu fulani na fulaniMbona wabunge hawafi?
Akitinga huko akaanze na hawa waheshimiwa, Mh. Sanga na Mh. Ndungaayisubiri bro CORONA atatimba bungeni suni kasema right now yupo bize DAR
Hayo maCCM na yafe yote tu! I hope they rot in hell for eternity!Mabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.
Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.
Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.
Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.
Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
usiwe na shaka watapukutika mpaka wataanza kujiuzulu maana hii Uturn ya korona niliwahi kuiandika hapa,kuwa dua zilikubaliwa lakini saasa baada ya kukubaliwa na korona kuondoka MiCCM ikaona inapeeeeendwa saaaaaana ,wakafikia kuiba uchaguzi ,yaani wafanye kumsukuru Mungu waendeshe uchaguzi wa haki na huru wao wakakufuru....Mbona wabunge hawafi?
... halafu kuna mshenzi mmoja aliwavua barakoa kwenye kikao kimoja huko Moshi! Yaani unachukua tahadhari ili tupone jitu jingine kisa lina madaraka halitaki tu!Mabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.
Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.
Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.
Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.
Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Naona umeamua kumuanika Mzee wangu Mgalula.Nzega pamechafuka sana. Nilikuwa naongea jana na fundi magari wa gereji moja ya Nzega kwa simu, anasema kwa kila siku wanazika watu kati ya 4 na 7. Na inaonesha ni kweli. Nilikuwa Nzega wiki iliyopita, nilishangaa kuona karibia kila siku kuna watu makaburini. Mwanzoni nilidhani wanajengea makaburi kumbe ni maziko.
Ukanda wote huo - Tabora, Nzega, Shinyanga, pamechafuka. Ukipita maeneo hayo chukua tahadhari ya hali ya juu. Kama unalazimika kulala maeneo hayo, pengine ni busara kulala kwenye gari lako kuliko huko kwenye nyumba za wageni. Wiki hiyo nilipokuwa Nzega, alifariki mganga msaidizi mstaafu ndugu Mgarula kwa tatizo la upumuaji. Huyu alikuwa na duka la Dawa kata ya Lusu, eneo la Mwaluzwilo. Pia kuna jamaa 3 waliwahi kufanya kazi kwenye mgodi wa dhahabu wa Resolute, Nzega, wote wamefariki kwa tatizo la upumuaji.
Kuna rafiki yangu amefiwa na ndugu 4 mjini Shinyanga ndani ya wiki 3, wote tatizo la upumuaji.
Mwanza napo siyo salama. Kinachosaidia Mwanza kutoonekana kuna hili tatizo, ni uwingi wa watu. Ukiwa pale mjini siyo rahisi kusikia kila msiba. Ukitaka kujua ukubwa wa tatizo, zungumza na wahudumu wa afya wa hospitali ya Seketure. Ninaowafahamu mimi wamefariki kwa tatizo la upumuaji mjini Mwanza kwa mwezi wa kwanza ni wawili. Wote miili yao ilisafirishwa kwenda Kilimanjaro.
Kila inapowezekana, chukua tahadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana huwa hatwai. Ni shetani ndo huwa anatwaa ila bwana alitoaMabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.
Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.
Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.
Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.
Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Maombi yako yamepokelewa na yanafanyiwa kaziMbona wabunge hawafi?