TANZIA Diwani Kata ya Igusule, Nzega afariki dunia

TANZIA Diwani Kata ya Igusule, Nzega afariki dunia

Nzega pamechafuka sana. Nilikuwa naongea jana na fundi magari wa gereji moja ya Nzega kwa simu, anasema kwa kila siku wanazika watu kati ya 4 na 7. Na inaonesha ni kweli. Nilikuwa Nzega wiki iliyopita, nilishangaa kuona karibia kila siku kuna watu makaburini. Mwanzoni nilidhani wanajengea makaburi kumbe ni maziko.

Ukanda wote huo - Tabora, Nzega, Shinyanga, pamechafuka. Ukipita maeneo hayo chukua tahadhari ya hali ya juu. Kama unalazimika kulala maeneo hayo, pengine ni busara kulala kwenye gari lako kuliko huko kwenye nyumba za wageni. Wiki hiyo nilipokuwa Nzega, alifariki mganga msaidizi mstaafu ndugu Mgarula kwa tatizo la upumuaji. Huyu alikuwa na duka la Dawa kata ya Lusu, eneo la Mwaluzwilo. Pia kuna jamaa 3 waliwahi kufanya kazi kwenye mgodi wa dhahabu wa Resolute, Nzega, wote wamefariki kwa tatizo la upumuaji.

Kuna rafiki yangu amefiwa na ndugu 4 mjini Shinyanga ndani ya wiki 3, wote tatizo la upumuaji.

Mwanza napo siyo salama. Kinachosaidia Mwanza kutoonekana kuna hili tatizo, ni uwingi wa watu. Ukiwa pale mjini siyo rahisi kusikia kila msiba. Ukitaka kujua ukubwa wa tatizo, zungumza na wahudumu wa afya wa hospitali ya Seketure. Ninaowafahamu mimi wamefariki kwa tatizo la upumuaji mjini Mwanza kwa mwezi wa kwanza ni wawili. Wote miili yao ilisafirishwa kwenda Kilimanjaro.

Kila inapowezekana, chukua tahadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
..."Ukitaka kujua ukubwa wa tatizo, zungumza na wahudumu wa afya wa hospitali ya Seketure....".
Hivi uongo na uzandiki huwa vinawasaidia nini....Hospitali kubwa ya Mkoa patakosa vifo kweli? Nimehudumu hospitali kubwa wagonjwa ni wengi na vifo ni vingi ukilinganisha na hapo nyumbani kwenu!
 
Du! Mkuu ahsante kwa taarifa, kumbe tatizo ni kubwa tunajidanganya nilikuwa Mwanza juzi watu wanakula shangwe bila tahadhali, ukifika city mall pale ni balaa
Achana na bavicha huyo...lengo lao ni kutaka unabii wa Tundu Lissu utimie eti Tanzania watakuwa wanaokota mizoga ya watu barabarani.....
 
Du! Mkuu ahsante kwa taarifa, kumbe tatizo ni kubwa tunajidanganya nilikuwa Mwanza juzi watu wanakula shangwe bila tahadhali, ukifika city mall pale ni balaa
Ndugu yangu chukua tahadhari kadiri uwezavyo, usidanganywe na wanasiasa. Hata wao wapo hatarini sawa na sisi. Lakini unafiki ndio unawafanya watamke hata yale ambayo hayapo mioyoni mwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh huyu ni Diwani kama sio wa nne kufariki basi wa tano. Uchaguzi wa marudio ni hasara kwa taifa.
Kwanini uchaguzi uwe hasara? Hivi kweli wananchi wa kata husika hawawezi kuchagua diwani wao pasipo kutumia gharama?

Mfumo wetu wa uchaguzi ukiruhusu wananchi wajichagulie kiongozi wao wala hakuna hata hitaji la maboksi na "ballot paper"; kiongozi atapatikana kwa uwazi kabisa na washindwa watampongeza aliyechaguliwa
 
Naona umeamua kumuanika Mzee wangu Mgalula.
Si,vizuri hivyo ndugu,dunia duara,
Leo kwangu kesho kwako.
Dhamira siyo kumwanika. Hata mie nimefiwa na ndugu zangu 3. Pole kwa kufiwa na ndugu yako. Kama imekutatiza, naomba unisamehe. Haikuwa dhamira yangu. Nami ni gali kwenye majonzinya ndugu yangu, halijaisha hata wiki tangu atutoke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nzega pamechafuka sana. Nilikuwa naongea jana na fundi magari wa gereji moja ya Nzega kwa simu, anasema kwa kila siku wanazika watu kati ya 4 na 7. Na inaonesha ni kweli. Nilikuwa Nzega wiki iliyopita, nilishangaa kuona karibia kila siku kuna watu makaburini. Mwanzoni nilidhani wanajengea makaburi kumbe ni maziko.

Ukanda wote huo - Tabora, Nzega, Shinyanga, pamechafuka. Ukipita maeneo hayo chukua tahadhari ya hali ya juu. Kama unalazimika kulala maeneo hayo, pengine ni busara kulala kwenye gari lako kuliko huko kwenye nyumba za wageni. Wiki hiyo nilipokuwa Nzega, alifariki mganga msaidizi mstaafu ndugu Mgarula kwa tatizo la upumuaji. Huyu alikuwa na duka la Dawa kata ya Lusu, eneo la Mwaluzwilo. Pia kuna jamaa 3 waliwahi kufanya kazi kwenye mgodi wa dhahabu wa Resolute, Nzega, wote wamefariki kwa tatizo la upumuaji.

Kuna rafiki yangu amefiwa na ndugu 4 mjini Shinyanga ndani ya wiki 3, wote tatizo la upumuaji.

Mwanza napo siyo salama. Kinachosaidia Mwanza kutoonekana kuna hili tatizo, ni uwingi wa watu. Ukiwa pale mjini siyo rahisi kusikia kila msiba. Ukitaka kujua ukubwa wa tatizo, zungumza na wahudumu wa afya wa hospitali ya Seketure. Ninaowafahamu mimi wamefariki kwa tatizo la upumuaji mjini Mwanza kwa mwezi wa kwanza ni wawili. Wote miili yao ilisafirishwa kwenda Kilimanjaro.

Kila inapowezekana, chukua tahadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna mtu anatumia madaraka yake na kutangaza TZ haina corona!
 
Kwiyoo.. walete walete Kwiyoo Kwiyoo..!
MaCCM yakifa mimi siwezi kulia..
Nitayatupa Bugili-Chato yawe chakula cha Simba.. [emoji126][emoji1739]
hata wewe pamoja na umasikini wako bado utakufa tu[emoji38][emoji38][emoji38].

unaona dunia ilivyo haiko fair???
 
Mabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.

Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.

Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.

Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.

Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Matatizo ya Kupumua Ni UGONJWA GANI HUO?
 
Duuh huyu ni Diwani kama sio wa nne kufariki basi wa tano. Uchaguzi wa marudio ni hasara kwa taifa.
Siyo hasara wenyewe wanasema demokrasia ina gharama. Na hizo ndo gharama zake
 
Mabibi na mabwana habari za kusikitisha kutokea pande za Igusule, Nzega mkoani Tabora, ni kuwa Diwani wa pande za huko tokea chama pendwa CCM ametutoka ghafla.

Marehemu alipata matatizo ya kupumua ambayo kwa bahati mbaya yamepelekea kifo chake.

Mengine yote kwa sasa yanakuwa ni historia isiyoweza kubadilishwa tena.

Tangulia Mh. Dotto nasi tuko nyuma yako.

Bwana alitoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Ukiona wananchi wanafuraia umauti wa mwananchi mwenzao kwa itikadi ya uongozi, faham kuwa kiongozi wa nchi hiyo aongozi MIOYO ya wananchi wake bali anaongoza MIILI yao.
 
hata wewe pamoja na umasikini wako bado utakufa tu[emoji38][emoji38][emoji38].

unaona dunia ilivyo haiko fair???
Najua sana mkuu nitakufa nakuoza kabisa. Kazi ipo kwenu "wazee wa viete" mnaojiona miungu watu kwa kodi zetu, na matendo yenu maovu ya kutesa na kuua watanzania.
Napata furaha ya nafsi MaCCM mkifaga.. Na InshaaAllah.. mtakufa sana... Kwioooo.. 💃🕺
 
Nzega pamechafuka sana. Nilikuwa naongea jana na fundi magari wa gereji moja ya Nzega kwa simu, anasema kwa kila siku wanazika watu kati ya 4 na 7. Na inaonesha ni kweli. Nilikuwa Nzega wiki iliyopita, nilishangaa kuona karibia kila siku kuna watu makaburini. Mwanzoni nilidhani wanajengea makaburi kumbe ni maziko.

Ukanda wote huo - Tabora, Nzega, Shinyanga, pamechafuka. Ukipita maeneo hayo chukua tahadhari ya hali ya juu. Kama unalazimika kulala maeneo hayo, pengine ni busara kulala kwenye gari lako kuliko huko kwenye nyumba za wageni. Wiki hiyo nilipokuwa Nzega, alifariki mganga msaidizi mstaafu ndugu Mgarula kwa tatizo la upumuaji. Huyu alikuwa na duka la Dawa kata ya Lusu, eneo la Mwaluzwilo. Pia kuna jamaa 3 waliwahi kufanya kazi kwenye mgodi wa dhahabu wa Resolute, Nzega, wote wamefariki kwa tatizo la upumuaji.

Kuna rafiki yangu amefiwa na ndugu 4 mjini Shinyanga ndani ya wiki 3, wote tatizo la upumuaji.

Mwanza napo siyo salama. Kinachosaidia Mwanza kutoonekana kuna hili tatizo, ni uwingi wa watu. Ukiwa pale mjini siyo rahisi kusikia kila msiba. Ukitaka kujua ukubwa wa tatizo, zungumza na wahudumu wa afya wa hospitali ya Seketure. Ninaowafahamu mimi wamefariki kwa tatizo la upumuaji mjini Mwanza kwa mwezi wa kwanza ni wawili. Wote miili yao ilisafirishwa kwenda Kilimanjaro.

Kila inapowezekana, chukua tahadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh hali ni mbaya jomoneeeeeeh
 
Ukiona wananchi wanafuraia umauti wa mwananchi mwenzao kwa itikadi ya uongozi, faham kuwa kiongozi wa nchi hiyo aongozi MIOYO ya wananchi wake bali anaongoza MIILI yao.

Ni vivyo hivyo ukikuta wananchi wanawaombea kifo wananchi wengine kwa itikadi za kisiasa na hata mkuu mwenyewe.

Dalili za wazi kuwa uongozi wa kidemokrasia umetushinda. Kwa maana ya kwamba tunapelekeshana.

Hali hii yahitaji maridhiano ya dharura ya kitaifa kuiondoa.
 
Back
Top Bottom