Elections 2010 Diwani wa CHADEMA (na member wa JF) atekwa Igunga

Elections 2010 Diwani wa CHADEMA (na member wa JF) atekwa Igunga

Mzee wa rula bado sijakusoma vizuri;
-Waliotekwa walipandishwa kwenye gari ya watekaji ama gari ya waliotekwa?
-Unaweza kutoa ufafanuzi wa jinsi tukio lilivyotokea hasa pale Nanyaro alipokamata steering na watekaji wenzake na dereva wakakimbia. Huyo Boniface aliyekuwa na mh. Diwani alikuwa wapi wakati huo?
Mwita wao walikuwa wametoka kupaki gari lao kwa maana guest waliyofikia haina parking. Wakiwa wanarudi ndiyo wakatekwa na kupakiwa ndani ya gari la watekaji. Kuhusu suala la Nanyaro kuvamia sterling hapo ndipo nimeona pamewachanga wengi, kifupi nimewasiliana na Nanyaro anaeleka Igunga mjini hivyo ataingia kwenye net na kulitolea ufafanuzi mzuri ili akidhi kiu yenu.
 
Mzee wa rula bado sijakusoma vizuri;
-Waliotekwa walipandishwa kwenye gari ya watekaji ama gari ya waliotekwa?
-Unaweza kutoa ufafanuzi wa jinsi tukio lilivyotokea hasa pale Nanyaro alipokamata steering na watekaji wenzake na dereva wakakimbia. Huyo Boniface aliyekuwa na mh. Diwani alikuwa wapi wakati huo?
mi nimemuuliza hapo juu, na nimemwambia story yake inavuja, yeye anakuwa mkali badala ya kueleza vizuri.
 
mi nimemuuliza hapo juu, na nimemwambia story yake inavuja, yeye anakuwa mkali badala ya kueleza vizuri.
Pole mama kama umeona nimekuwa mkali, muda so mrefu Nanyaro atakuja kutoa ufafanuzi ilikuwaje maana mtu ikiripoti kuna weza kuwa na mapungufu fulani lakini naomba uelewe hali ilikuwa hivyo.
 
Kwanza siyo Crashwise ambaye umemzoea kuwa ni mnazi wa CDM! Unachobisha ni ni hapo? Watekaji walikuwa wane na jamaa walikuwa wawili dereva ambaye kwa mujibu wa Nanyaro mwenyewe ni baunsa hivyo alivyoona gari linaekea porini aliamua kumdhibiti kwanza Nanyaro ambae kiumbo ni mdogo na kisha kumtupa nje kwa kushirikiana na wenzake. Umeelewa au bado unapinga mazingira ya wao kuepuka dhahama hiyo? Elewa hii story siyo ya kutunga kama story za Erick Shigongo kule globalpublishers.
taratibu wewe!!!
unatoka povu nini sasa!!
 
Pole mama kama umeona nimekuwa mkali, muda so mrefu Nanyaro atakuja kutoa ufafanuzi ilikuwaje maana mtu ikiripoti kuna weza kuwa na mapungufu fulani lakini naomba uelewe hali ilikuwa hivyo.
Dont F with me bitc.!
hata kusoma hujui.
 
Haya mambo haya sasa naanza kutoyaamini!!
Crashwise, hiyo story yako ina matundu mengi sana.

1)akamrukia dereve...........washirika wa dereva wakakimbia, je gari ilikuwa imesimama au inatembea? na ni station wagon, right?
2) dereva aliyepewa roba au ambaye anapambana na mtu aliyeng'ang'ania steering wheel huku gari ikitembea, aliwezaje kumpa kipigo Ephata, na kumtupa nje ya gari?? na huyo mwenzake Ephata alikuwa anafanya nini??

hizi story zinaanza kuniudhi sasa!!

Mkuu alieanzisha topic sio Crashwise, soma tena.
 
Bila kujitoa mhanga nadhani tungekuwa tunazungumza mengine, halafu Nanyaro ni mwanaJF hapa ila kutokana na mazingira ya Igunga kuna kipind hapatikani ila atakuja kuthibitisha habari hii kwa wale wenye mashaka kama Birigita.
Hao ndio cdm,habari njema habari mbaya na habari mbaya habari njema kwao,km mnataka serikali huria hizo ndizo mbivu zake,na CUF nao wakianza kuteka,NCCR nao,UDP,nk,patakalika,msiwe mnashangilia habari mbaya kwa jirani itakuwa kesho kwako umchukie jirani nae akishangilia yakikukuta kwako.
 
I read kwenye mwananchi la alhamisi kuwa Wasira aliomba CCm wanyooshe vidole wakanyoosha, kisha akaomba CDM wanyooshe hakuna aliyenyoosha, akasema ah kumbe hawapo! ( Mind u he didn't ask for CUF, UPDP etc)

Basi ghafla vijana nyuma wakanyoosha vidole viwili huku wakiimba nguvu ya umma! Akasema kumbe mpo! Immediately wakatekwa na kupelekwa kusikojulikana! That has been published in Mwananchi toleo la alhamisi na kushuhudiwa na wahariri wao,

Vijana walipolikimbiza gari ndio kibao kikawageukia kuwa wao ndio wameenda kufanya fujo mkutanoni..seriously...
 
Hao ndio cdm,habari njema habari mbaya na habari mbaya habari njema kwao,km mnataka serikali huria hizo ndizo mbivu zake,na CUF nao wakianza kuteka,NCCR nao,UDP,nk,patakalika,msiwe mnashangilia habari mbaya kwa jirani itakuwa kesho kwako umchukie jirani nae akishangilia yakikukuta kwako.
Cha kushangaza waliteka watu mbele ya Wassira tena kwenye kadamnasi, mpaka akina January wakaenda kutafuta suluhu halafu watu wanashangaa kama hii si tabia ya CCM!
 
kAMA TUKIO HILI NI LA KWELI BASI TUNAKOELEKEA KUBAYA NINACHO WAAMBIA CCM WAKIENDEKEZA TABIA HII MWISHO WAKE MBAYA SANA KWAO ISIJE FIKIA WANANCHI WAKASHIKA BUNDUKI NDIO TUTAONANA WABAYA SANA KWA KWELI.
 
I read kwenye mwananchi la alhamisi kuwa Wasira aliomba CCm wanyooshe vidole wakanyoosha, kisha akaomba CDM wanyooshe hakuna aliyenyoosha, akasema ah kumbe hawapo! ( Mind u he didn't ask for CUF, UPDP etc)

Basi ghafla vijana nyuma wakanyoosha vidole viwili huku wakiimba nguvu ya umma! Akasema kumbe mpo! Immediately wakatekwa na kupelekwa kusikojulikana! That has been published in Mwananchi toleo la alhamisi na kushuhudiwa na wahariri wao,

Vijana walipolikimbiza gari ndio kibao kikawageukia kuwa wao ndio wameenda kufanya fujo mkutanoni..seriously...
You're right, hilo ndilo lililopelekea January akutane na Dr Slaa kuweka mikakati ya kufanya kampeni kwa misingi ya ustaarabu.
 
I read kwenye mwananchi la alhamisi kuwa Wasira aliomba CCm wanyooshe vidole wakanyoosha, kisha akaomba CDM wanyooshe hakuna aliyenyoosha, akasema ah kumbe hawapo! ( Mind u he didn't ask for CUF, UPDP etc)

Basi ghafla vijana nyuma wakanyoosha vidole viwili huku wakiimba nguvu ya umma! Akasema kumbe mpo! Immediately wakatekwa na kupelekwa kusikojulikana! That has been published in Mwananchi toleo la alhamisi na kushuhudiwa na wahariri wao,

Vijana walipolikimbiza gari ndio kibao kikawageukia kuwa wao ndio wameenda kufanya fujo mkutanoni..seriously...

Huo ni ushahidi kwamba mzee wa kusinzia ndiye anasimamia zoezi la mungiki wa ccm kuwateka wanachama, wafuasi, wapenzi na mashabiki wa chadema.

Na kwahiyo basi serikali kupitia kwa waziri wake mzee wa kusinzia ndiyo inaendesha zoezi haramu la kuwateka wafuasi wa chadema.
 
Back
Top Bottom