SOBY
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 1,268
- 459
Hao jamaa waliingiaje kwenye gari?... watekaji walikuwa na kimondo? au kimeme?
Kwanini purukushani zisiwe kabla ya kuingia ndani ya gari?
Au walidhani wanapata lifti?...... Story haijatulia, ila picha zote zilizopo online zinaonyesha CCM wakifanyiwa utemi.
It's hard to believe you guys even if we wanted to.
Kwanini purukushani zisiwe kabla ya kuingia ndani ya gari?
Au walidhani wanapata lifti?...... Story haijatulia, ila picha zote zilizopo online zinaonyesha CCM wakifanyiwa utemi.
It's hard to believe you guys even if we wanted to.