Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,351
- Thread starter
-
- #21
Mwita wao walikuwa wametoka kupaki gari lao kwa maana guest waliyofikia haina parking. Wakiwa wanarudi ndiyo wakatekwa na kupakiwa ndani ya gari la watekaji. Kuhusu suala la Nanyaro kuvamia sterling hapo ndipo nimeona pamewachanga wengi, kifupi nimewasiliana na Nanyaro anaeleka Igunga mjini hivyo ataingia kwenye net na kulitolea ufafanuzi mzuri ili akidhi kiu yenu.Mzee wa rula bado sijakusoma vizuri;
-Waliotekwa walipandishwa kwenye gari ya watekaji ama gari ya waliotekwa?
-Unaweza kutoa ufafanuzi wa jinsi tukio lilivyotokea hasa pale Nanyaro alipokamata steering na watekaji wenzake na dereva wakakimbia. Huyo Boniface aliyekuwa na mh. Diwani alikuwa wapi wakati huo?
mi nimemuuliza hapo juu, na nimemwambia story yake inavuja, yeye anakuwa mkali badala ya kueleza vizuri.Mzee wa rula bado sijakusoma vizuri;
-Waliotekwa walipandishwa kwenye gari ya watekaji ama gari ya waliotekwa?
-Unaweza kutoa ufafanuzi wa jinsi tukio lilivyotokea hasa pale Nanyaro alipokamata steering na watekaji wenzake na dereva wakakimbia. Huyo Boniface aliyekuwa na mh. Diwani alikuwa wapi wakati huo?
Pole mama kama umeona nimekuwa mkali, muda so mrefu Nanyaro atakuja kutoa ufafanuzi ilikuwaje maana mtu ikiripoti kuna weza kuwa na mapungufu fulani lakini naomba uelewe hali ilikuwa hivyo.mi nimemuuliza hapo juu, na nimemwambia story yake inavuja, yeye anakuwa mkali badala ya kueleza vizuri.
taratibu wewe!!!Kwanza siyo Crashwise ambaye umemzoea kuwa ni mnazi wa CDM! Unachobisha ni ni hapo? Watekaji walikuwa wane na jamaa walikuwa wawili dereva ambaye kwa mujibu wa Nanyaro mwenyewe ni baunsa hivyo alivyoona gari linaekea porini aliamua kumdhibiti kwanza Nanyaro ambae kiumbo ni mdogo na kisha kumtupa nje kwa kushirikiana na wenzake. Umeelewa au bado unapinga mazingira ya wao kuepuka dhahama hiyo? Elewa hii story siyo ya kutunga kama story za Erick Shigongo kule globalpublishers.
Kipi cha ajabu hapo? Igunga ni zaidi ya uchaguzi!Du hata madiwani wa Arusha wako Igunga? Kazi kweli kweli
Dont F with me bitc.!Pole mama kama umeona nimekuwa mkali, muda so mrefu Nanyaro atakuja kutoa ufafanuzi ilikuwaje maana mtu ikiripoti kuna weza kuwa na mapungufu fulani lakini naomba uelewe hali ilikuwa hivyo.
Haya mambo haya sasa naanza kutoyaamini!!
Crashwise, hiyo story yako ina matundu mengi sana.
1)akamrukia dereve...........washirika wa dereva wakakimbia, je gari ilikuwa imesimama au inatembea? na ni station wagon, right?
2) dereva aliyepewa roba au ambaye anapambana na mtu aliyeng'ang'ania steering wheel huku gari ikitembea, aliwezaje kumpa kipigo Ephata, na kumtupa nje ya gari?? na huyo mwenzake Ephata alikuwa anafanya nini??
hizi story zinaanza kuniudhi sasa!!
Mbona hata Nape aliahidi mambo haya?
Unafikiri watu wote ni wa kutoa mapovu kama mgonjwa wa kifafa!!!!taratibu wewe!!!
unatoka povu nini sasa!!
Hao ndio cdm,habari njema habari mbaya na habari mbaya habari njema kwao,km mnataka serikali huria hizo ndizo mbivu zake,na CUF nao wakianza kuteka,NCCR nao,UDP,nk,patakalika,msiwe mnashangilia habari mbaya kwa jirani itakuwa kesho kwako umchukie jirani nae akishangilia yakikukuta kwako.Bila kujitoa mhanga nadhani tungekuwa tunazungumza mengine, halafu Nanyaro ni mwanaJF hapa ila kutokana na mazingira ya Igunga kuna kipind hapatikani ila atakuja kuthibitisha habari hii kwa wale wenye mashaka kama Birigita.
Wananuoneaga sana huyu jamaa mara hana kazi, mara sijui nini yaani upuuzi mtupu bora wamkere tu nafsi zao zitulie.Mkuu alieanzisha topic sio Crashwise, soma tena.
Cha kushangaza waliteka watu mbele ya Wassira tena kwenye kadamnasi, mpaka akina January wakaenda kutafuta suluhu halafu watu wanashangaa kama hii si tabia ya CCM!Hao ndio cdm,habari njema habari mbaya na habari mbaya habari njema kwao,km mnataka serikali huria hizo ndizo mbivu zake,na CUF nao wakianza kuteka,NCCR nao,UDP,nk,patakalika,msiwe mnashangilia habari mbaya kwa jirani itakuwa kesho kwako umchukie jirani nae akishangilia yakikukuta kwako.
Hii ni Cinema ya Kihindi Jambazi anakufa mwishoni
You're right, hilo ndilo lililopelekea January akutane na Dr Slaa kuweka mikakati ya kufanya kampeni kwa misingi ya ustaarabu.I read kwenye mwananchi la alhamisi kuwa Wasira aliomba CCm wanyooshe vidole wakanyoosha, kisha akaomba CDM wanyooshe hakuna aliyenyoosha, akasema ah kumbe hawapo! ( Mind u he didn't ask for CUF, UPDP etc)
Basi ghafla vijana nyuma wakanyoosha vidole viwili huku wakiimba nguvu ya umma! Akasema kumbe mpo! Immediately wakatekwa na kupelekwa kusikojulikana! That has been published in Mwananchi toleo la alhamisi na kushuhudiwa na wahariri wao,
Vijana walipolikimbiza gari ndio kibao kikawageukia kuwa wao ndio wameenda kufanya fujo mkutanoni..seriously...
I read kwenye mwananchi la alhamisi kuwa Wasira aliomba CCm wanyooshe vidole wakanyoosha, kisha akaomba CDM wanyooshe hakuna aliyenyoosha, akasema ah kumbe hawapo! ( Mind u he didn't ask for CUF, UPDP etc)
Basi ghafla vijana nyuma wakanyoosha vidole viwili huku wakiimba nguvu ya umma! Akasema kumbe mpo! Immediately wakatekwa na kupelekwa kusikojulikana! That has been published in Mwananchi toleo la alhamisi na kushuhudiwa na wahariri wao,
Vijana walipolikimbiza gari ndio kibao kikawageukia kuwa wao ndio wameenda kufanya fujo mkutanoni..seriously...
Nanyaro ni member hapa JF aje atujuze vizuri kitu gani hasa kilitokea. Maadamu hata hao waliripoti polisi basi wameshafahamika ni nani.
hapo kazi ipo!!! vitisho kila kukisha, kwan hilo gari T203 BKW mmiliki wake ni nani?km unafahamu,