Elections 2010 Diwani wa CHADEMA (na member wa JF) atekwa Igunga

Ni vibaka tu wa Igunga hakuna utekaji hapo!
 
Nanyaro upatapo muda weka hii habari vizuri, je kweli au laa!!!!!!
 
wanahangaika nini saa saba usiku, si walale!

upuuzi mtupu
 
Hii picha ilikuwa tamu kweli. Watu wanapigana wakati gari ipo kwenye mwendo.. Je diwani aliumia baada ya kupewa kipigo na kuchomoka kutoka kwenye gar?.
 

Katika wa2 mizigo humu jamvini huyu Best ni mmoja wao! Utafikiri kalazimishwa kuja humu. Mtu mwenye uwelewa wa kujua mambo yalivyo hana haja ya kujikanyagakanyaga humu. Kama una kichwa maji acha kuingia humu nenda kwanza Mirembe ama Muhimbili ukatibiwe,Kondoo wee! Unahabarishwa news unaleta mambo yako ya mwaka 47 humu. Kwenda zako kondoo wee!
 

CCM wamechoka wamechakaa, mambo wanayoyafanya si ya kawaida kabisa. hawana tofauti na Maharamia wa somalia.
Kamanda Nanyaro nimeongea naye yupo salama, mapambano yanaendelea kama kawaida.
 
Unanitafutia Ban tu we dogo!!!
Don't get Angry, get Even
 
Ni dhahiri kwamba utekaji, ujambazi, na mambo mengine ya uhalifu unafundishwa na chama cha mapinduzi. ndiyo maana uhalifu hauishi nchi hii.
Dawa ni kuipindua tu serikali ya chama cha mapinduzi ili uhalifu wa aina yoyote ukome nchi hii.
 
Duh!
Kuna habari nyingine zinakuharibia mudi hadi unashindwa kuchangia! Hata bia inaenda kwa mawazo sasa....!?
 
Ni vibaka tu wa Igunga hakuna utekaji hapo!

When mzee Hoarace was silenced, our hearts started to cry! It had been crying from that time and the trauma goes very deep.
Na sasa uvumilivu (sio amani na utlivu) unakaribia kwisha na kipimo ni kesho.
 
Mtoa taarifa ebu tupe maelezo ya nini Polisi imefanya juu ya Jambo hili.
 
Hii picha ilikuwa tamu kweli. Watu wanapigana wakati gari ipo kwenye mwendo.. Je diwani aliumia baada ya kupewa kipigo na kuchomoka kutoka kwenye gar?.
Hii habari inachanganya kwa kweli...
 
Hii habari inachanganya kwa kweli...
habari hii itasadikika tu pale nanyaro mwenyewe atakapoweka wazi, lakini kwa maelezo ya mtoa mada inakuwa ngumu kusadiki, mazingira yanakataa kufikirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…