Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Sasa hizo taarifa mnaleta hapa ndo polisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww tumia akili kutafakari co kila aliekuwepo hapa jukwaan ana njaa,wengne tupo kuwazungumzia wengi wanaoishi ktk umasikin uliotopea huku keki ya taifa ikiliwa na wachache
kama umekubali kuwa maisha yameboreka hapa tanzania sasa mbona utaki kushukuru kwa muumba wako allah kwa seeikali kusimamia maisha mazuri kwa watanzania ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andiko lililojaa hisia bila ya hata chembe ya ushahidi kuthibitisha kama kweli ni uhalisia? Yaani kila hadithi ya kutungwa il mradi anayeshutumiwa ni Mbowe inakuwa ni kweli??
Mkuu, hakuna mahali nimendika nikasema ni ukweli

Hoja yangu imejaa maswali Kwa wanaomtuhumu Mbowe

Maana pia wale wanaomtuhumu Mbowe karibu wote walikuwa waachadema Kwa Maana pengine wanasiri zake!

Tuhuma hizi zimeanza kitambo Sana, Je ni kweli?

Kwa nini Chadema sasa isilifikishe mahakamani Jambo hili ili kukilinda Chama na m/kiti wake?
 
Mbowe ameshika record mtu anaeongelewa Mara nyingi Tanzania kulipo ata raisi wa inchi.

Big up Mbowe.
Kwenye "Wordometer" yangu ya MS,nimepata neno "Mbowe" limeandikwa mara 88,672 kwa mwezi huu tuu hapa JF,mpaka leo hii saa tisa na dakika 18.

First, if you want to know the number of times a specific word or phrase is used, you can follow these steps:

Press Ctrl+H to display the Replace tab of the Find and Replace dialog box.

. The Replace tab of the Find and Replace dialog box.

In the Find What box, enter the word or phrase you want counted.

In the Replace With box, enter ^&. This character sequence tells Word that you want to replace what you find with whatever you placed in the Find What box. (In other words, you are replacing the word or phrase with itself.)

If you are searching for individual words, make sure you click the Find Whole Words Only check box.

Click on Replace All. Word makes the replacements and shows you how many instances it replaced. That is the number you want.
 

Huu ni mkakati maalumu ndani ya ccm, ukiangalia haya mashambulizi yameanza rasmi toka mwezi aprili. Kuna mkakati maalumu ndani ya ccm kumwaga watu kwenye mitandao ya kijamii kuelekea uchaguzi mkuu. Makundi hayo yamekabidhiwa kazi za kumsifu Magufuli kwa nguvu zote, kuipamba NCCR mageuzi na kuichafua cdm kwa nguvu zote hasa Mbowe.

Kazi ya kumsifia Magufuli imefanyika kwa nguvu kubwa lakini haileti matunda chanya huku mitandaoni, kwani vyombo vya dola havina nguvu humu. Kazi ya kuipamba NCCR inafanyika lakini haina mashiko maana NCCR haina mvuto. Hivyo kazi kubwa inayofanywa sasa ni kuichafua cdm hasa Mbowe, lengo ni kuwatoa cdm kwenye mstari, na hata cdm au Mbowe wakifungua mashtaka mahakamani wataishia kupotezewa muda, na kesi hizo kutumika kama platform ya kuwachafua zaidi cdm. Kama kweli haya yanayosemwa yana ushahidi mbona vyombo vya dola havichukui hatua? Kama kuna kijana kakamatwa kwa kucheka picha ya rais huku mitandaoni na hivi sasa ana kesi, kipi kinashindikana kwa adui wa ccm kama Mbowe? Hizi ni siasa chafu, na cdm wanatakiwa wazijibie humu humu zinakotolewa, lakini wakienda mahakamani huko hamna chochote watapata, maana hata hizo mahakama ni sehemu ya mkakati wa hizo hujuma za siasa chafu. Uzuri hawa watoa tuhuma tunawamudu vizuri sana humu jukwaani, hasa ukizingatia huku hamna mbeleko ya vyombo vya dola.
 
maCCM pumzi imekata, yameishindwa CHADEMA sasa yameanza kupambana na MBOWE

Mmesahau! 1.5 trillion zilitafunwa na majizi CCM
 
Moose tuhuma za mauaji hajaanza leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mleta uzi katoa hoja zake mbona bovu badala ya kujibu hoja ama kuhoji

God save us
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…