Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Fanya wewe kazi hiyo. Mgawanyo wa majukumu. Kwa sisi wengine Mbowe ni mbaya kuliko Corona. Watu wameuawa, wamefilisika, ndoa zimevunjika na wengine hatuelewi hata kwanini tulipoteza muda kwenye siasa ili tu kuimarisha mfumo wa vyama vingi ili Taifa hili watu wabishane kwa hoja na kuwa na jukwaa mbadala la kusemea.

Sasa anapotokea mtu mmoja kulinda maslahi yake kuliko maslahi ya Chama chenye jasho na damu za wengi na kuliko maslahi ya Taifa hatuna budi kuunganisha nguvu kumdhibiti mtu huyo.

Actually nawashangaa sana usalama wa Taifa na serikali kumwachia Mbowe aiharibu CHADEMA ambayo ilishakuwa Taasis muhimu kwa Taifa hili. Ni bahati mbaya sana.

Pia nawashangaa Wanachadema wenyewe kukaa kimya, kususa na kumuacha afanye atakavyo kana kwamba CHADEMA ina jasho la Mbowe tu. Infact Mbowe hajawahi kupata hasara yoyote wala tabu kwenye CHADEMA. Slaa NDIO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hizo taarifa mnaleta hapa ndo polisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww tumia akili kutafakari co kila aliekuwepo hapa jukwaan ana njaa,wengne tupo kuwazungumzia wengi wanaoishi ktk umasikin uliotopea huku keki ya taifa ikiliwa na wachache
kama umekubali kuwa maisha yameboreka hapa tanzania sasa mbona utaki kushukuru kwa muumba wako allah kwa seeikali kusimamia maisha mazuri kwa watanzania ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andiko lililojaa hisia bila ya hata chembe ya ushahidi kuthibitisha kama kweli ni uhalisia? Yaani kila hadithi ya kutungwa il mradi anayeshutumiwa ni Mbowe inakuwa ni kweli??
Mkuu, hakuna mahali nimendika nikasema ni ukweli

Hoja yangu imejaa maswali Kwa wanaomtuhumu Mbowe

Maana pia wale wanaomtuhumu Mbowe karibu wote walikuwa waachadema Kwa Maana pengine wanasiri zake!

Tuhuma hizi zimeanza kitambo Sana, Je ni kweli?

Kwa nini Chadema sasa isilifikishe mahakamani Jambo hili ili kukilinda Chama na m/kiti wake?
 
Mbowe ameshika record mtu anaeongelewa Mara nyingi Tanzania kulipo ata raisi wa inchi.

Big up Mbowe.
Kwenye "Wordometer" yangu ya MS,nimepata neno "Mbowe" limeandikwa mara 88,672 kwa mwezi huu tuu hapa JF,mpaka leo hii saa tisa na dakika 18.

First, if you want to know the number of times a specific word or phrase is used, you can follow these steps:

Press Ctrl+H to display the Replace tab of the Find and Replace dialog box.

. The Replace tab of the Find and Replace dialog box.

In the Find What box, enter the word or phrase you want counted.

In the Replace With box, enter ^&. This character sequence tells Word that you want to replace what you find with whatever you placed in the Find What box. (In other words, you are replacing the word or phrase with itself.)

If you are searching for individual words, make sure you click the Find Whole Words Only check box.

Click on Replace All. Word makes the replacements and shows you how many instances it replaced. That is the number you want.
 
Mimi kinachonisikitisha Kwa sasa, ni kuona Watanzania wengi wakiongezeka Kwa Kasi kuwa na chuki na Mzee Mbowe,

Na chuki Yao ikihusisha maswala magumumagumu Sana, Jambo la Kwanza unajiuliza

Je, Watanzania wamekumbwa na nini kiasi cha kumchukia hivi mh Mbowe?

Je, Mbowe Kwa sasa amekumbwa na gundu ghafla kiasi cha kukaa akisemwa semwa na kuchukiwa

Au, ni kweli kwamba yanayosemwa yanaukweli, na Kwa nini iwe nyakati hizi ambazo ukizipima zimekuwa ni nyakati ambazo joto la siasa limekuwa liko juu Sana?

Ni Kwa sababu aliokuwa akifanya nao mambo Kwa Siri wengi wao wemeamua Kuokoka na wengine wao kufukuzwa?

Kwa kuwa kazi ya shetani ukiamua kumtumikia ni lazima tu siku moja akuaibishe,Je shetani sasa ameamua aanze kumdharilisha mh.?

Lakini swali langu gumu hasa Kwa hao wanaotangaza maasi ya Mh!

Mnadhani kwamba yeye Mh, ameamua kujichoka ili Hali akijua kwamba Kwa namna yoyote iwavyo hawezi kuanza kujiingiza kwenye Moto huku akijiona, Mnadhani kwamba, ni rahisi kwake kukorofishana na watu wenye Siri zake ili ajikamatishe police?

Hizi sio mihemko tu ya kisiasa?

Na Kwa nini ninyi mnaomshambulia Mh, Kwa dhambi kubwa hizi zisizovumilika Kwa namna yoyote Ile, Kwa Taifa na Jamii, Kwa nini sasa mkajitokeza hadharani kutafuta wadhamini kama mtahitaji hivyo ili Mbowe afikishwe mahakamani mkiwa na ushahidi huu mnaoendelea kuandika humu

Na la sivyo, Chadema sasa mfike pahala muwafungilie mashitaka watu hawa, Kwa sababu tuhuma hizi zinaendelea kukichafua Chama na m/kit wenu,

Ama mh Mbowe sasa aingie mahakamani mwenyewe, Kwa Maana akinyamaza watu wataamini hivyo

Huu ni mkakati maalumu ndani ya ccm, ukiangalia haya mashambulizi yameanza rasmi toka mwezi aprili. Kuna mkakati maalumu ndani ya ccm kumwaga watu kwenye mitandao ya kijamii kuelekea uchaguzi mkuu. Makundi hayo yamekabidhiwa kazi za kumsifu Magufuli kwa nguvu zote, kuipamba NCCR mageuzi na kuichafua cdm kwa nguvu zote hasa Mbowe.

Kazi ya kumsifia Magufuli imefanyika kwa nguvu kubwa lakini haileti matunda chanya huku mitandaoni, kwani vyombo vya dola havina nguvu humu. Kazi ya kuipamba NCCR inafanyika lakini haina mashiko maana NCCR haina mvuto. Hivyo kazi kubwa inayofanywa sasa ni kuichafua cdm hasa Mbowe, lengo ni kuwatoa cdm kwenye mstari, na hata cdm au Mbowe wakifungua mashtaka mahakamani wataishia kupotezewa muda, na kesi hizo kutumika kama platform ya kuwachafua zaidi cdm. Kama kweli haya yanayosemwa yana ushahidi mbona vyombo vya dola havichukui hatua? Kama kuna kijana kakamatwa kwa kucheka picha ya rais huku mitandaoni na hivi sasa ana kesi, kipi kinashindikana kwa adui wa ccm kama Mbowe? Hizi ni siasa chafu, na cdm wanatakiwa wazijibie humu humu zinakotolewa, lakini wakienda mahakamani huko hamna chochote watapata, maana hata hizo mahakama ni sehemu ya mkakati wa hizo hujuma za siasa chafu. Uzuri hawa watoa tuhuma tunawamudu vizuri sana humu jukwaani, hasa ukizingatia huku hamna mbeleko ya vyombo vya dola.
 
maCCM pumzi imekata, yameishindwa CHADEMA sasa yameanza kupambana na MBOWE

Mmesahau! 1.5 trillion zilitafunwa na majizi CCM
 
Mkuu, hakuna mahali nimendika nikasema ni ukweli

Hoja yangu imejaa maswali Kwa wanaomtuhumu Mbowe

Maana pia wale wanaomtuhumu Mbowe karibu wote walikuwa waachadema Kwa Maana pengine wanasiri zake!

Tuhuma hizi zimeanza kitambo Sana, Je ni kweli?

Kwa nini Chadema sasa isilifikishe mahakamani Jambo hili ili kukilinda Chama na m/kiti wake?
Moose tuhuma za mauaji hajaanza leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni propaganda za kipumbavu na za kipuuzi Tz ina chagamoto nyingi zaidi ya Mbowe nguvu mnazo elekeza kwa kimshusha mbowe mgeziweka kwenye masuala yanayo saidia taifa sio chama, corona ipo maleria ipo elimu bado mbovu sector ya afya ina shida kubwa mnatuletea propaganda za mbowe kila wakati watu ni wale wale....tumechoka tunahitaji national issues plz
Mbona mleta uzi katoa hoja zake mbona bovu badala ya kujibu hoja ama kuhoji

God save us
 
Back
Top Bottom