Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Malalamiko ndio chanzo cha habari tulia

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari![emoji1787][emoji1787]MATAGA bana! Mmeshamjua mharifu na mna vyombo vyote chukueni hatua hatutaki taarabu, mna wajibu wa kusimamia sheria sio kuimba taarabu. Serikali corrupt haiwezi kusimamia sheria.

Mmesahau! 1.5 trillion zilitafunwa na majizi CCM
 
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli Mbowe ni kiboko! Kama anaweza kufanya yote haya ndani ya nchi yenye jeshi na kila wanausalama basi yeye ni hatari zaidi ya hatari vinginevyo angekuwa anakaribia kunyongwa jela kama haya yanayosemwa yana ukweli. Kwanini usiende kuisaidia jamuhuri kufungua kesi halafu mashahidi muhimu kama kina Zitto wakatumika ili afungwe asiendelee kudhulumu uhai wa watu?
 
Nikweli Uncle Jay Jay.
Kwa kweli Mbowe ni kiboko! Kama anaweza kufanya yote haya ndani ya nchi yenye jeshi na kila wanausalama basi yeye ni hatari zaidi ya hatari vinginevyo angekuwa anakaribia kunyongwa jela kama haya yanayosemwa yana ukweli. Kwanini usiende kuisaidia jamuhuri kufungua kesi halafu mashahidi muhimu kama kina Zitto wakatumika ili afungwe asiendelee kudhulumu uhai wa watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya wewe kazi hiyo. Mgawanyo wa majukumu. Kwa sisi wengine Mbowe ni mbaya kuliko Corona. Watu wameuawa, wamefilisika, ndoa zimevunjika na wengine hatuelewi hata kwanini tulipoteza muda kwenye siasa ili tu kuimarisha mfumo wa vyama vingi ili Taifa hili watu wabishane kwa hoja na kuwa na jukwaa mbadala la kusemea.

Sasa anapotokea mtu mmoja kulinda maslahi yake kuliko maslahi ya Chama chenye jasho na damu za wengi na kuliko maslahi ya Taifa hatuna budi kuunganisha nguvu kumdhibiti mtu huyo.

Actually nawashangaa sana usalama wa Taifa na serikali kumwachia Mbowe aiharibu CHADEMA ambayo ilishakuwa Taasis muhimu kwa Taifa hili. Ni bahati mbaya sana.

Pia nawashangaa Wanachadema wenyewe kukaa kimya, kususa na kumuacha afanye atakavyo kana kwamba CHADEMA ina jasho la Mbowe tu. Infact Mbowe hajawahi kupata hasara yoyote wala tabu kwenye CHADEMA. Slaa NDIO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kacheki ubongo mkuu
 
ee mungu muumba mbingu na nchi mbowe ataenda kujibu nini mbele za mungu kwa jinsi alivyo lowa damu kwenye mikono yake kwa maslai yake ya kisiasa hapa duniani.

Mbowe akumbuke dunia tunapita tu na wote tutakufa sasa kwa nini anadhulumu nafsi za watu kwa maisha mafupi ya duniani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo na wewe unaamini Mbowe kafanya yote hayo, pamoja na kumuua yule diwani!! Akili yako iko wapi, likizo??! Au ndo uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo!

Jamani, hebu tumwogope na Mungu, such serious allegations against this man, and still yuko uraiani??! Unamsikiliza Waitara anayepambana na hali yake, ambapo hadi sasa hajui anagombea jumbo gani??!!
 
Kwahiyo na wewe unaamini Mbowe kafanya yote hayo, pamoja na kumuua yule diwani!! Akili yako iko wapi, likizo??! Au ndo uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo!

Jamani, hebu tumwogope na Mungu, such serious allegations against this man, and still yuko uraiani??! Unamsikiliza Waitara anayepambana na hali yake, ambapo hadi sasa hajui anagombea jumbo gani??!!
wewe unajua nini wewe ?
hivi una maslai gani unayapata mpaka ukawa mstari wa mbele kutetea waharifu ?
acha uzwazwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe haswa ulivyo mtukana mzee lowasa wakati amehamia cdm, ila leo hii unamramba miguu
kikwete si mmemtuka matusi ya nguoni wakati wa utawala wake nyinyi bavicha.leo mnatoa shukrani za kinafki ?
kwanza kikwete ni chama gani ?
ufipa amjui hata kujitetea,!!,

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Hakika huyu ni mwamba
Nikweli Uncle Jay Jay.

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200101-004513.jpeg


In God we Trust
 
Back
Top Bottom