Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tatizo la mijitu ya Tanzania they draw the evidence on air and never prove it. Hii siyo literature mtu unawaza na kuandika kwa kumchora vizuri mhusika na kumleta karibu na wasomaji halafu mwisho bado unawaachia wateja wako maswali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza saana nyie wanaccm mlivyo na chuki na Mh.Mbowe, Mmekataa kufanyika uchunguzi wa kimataifa ili tujue ni nani alimshamblia Mh.Lisu, wapi alipo Ben Saanane ? Leo mnakuja na ushetani mpya. Mlaaniwe nyie na vizazi vyenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doh huyu Mbowe atawatoa roho ccm. Kila wakati Mbowe! Mbowe! Hamchoki? Mwamba shikilia hapo hapo, jamaa wamechanganyikiwa!
 
Huu ni mwaka wa uchaguzi na wameshajua udhaifu wa jiwe, kwa Kila mtu anamponda mbowe ili jiwe awakumbuke kwenye nafas ya kugombea ubunge
siasa za hivi zisizojali haki au hisia za maumivu ya wengine ni siasa mbaya Sana watu wa namna hii wako radhi kuuwa ili wafanikiwe kisiasa unapomsingizia mbowe hayo ili badaae upate faida ya KISIASA huoni unapanda ngazi huku unaumiza wengine? Inauma Sana toho ya namna hii halafu kesho mnaenda kanisani kuomba muombewe.
 
Mramba nakukubali sana. Maelezo yako yanabeba uhalisia wa maovu ya Mbowe na CHADEMA. Kungekuwa na namna ya kukusanya threads zako zote ningefanya.
Siku za nyuma niliwahi kukushauri uwe makini sababu Mbowe na genge ni rahisi kukuondoa. Lakini angalau Leo wameongezeka kina Lijualikali, Mwita na wengineyo hivyo kupunguza chances za 'hatari' kukudondokea.
 
Kila mtu anafahamu kuwa Ben Saanane alipotea muda mfupi tu baada ya kuhoji uhalali wa Phd ya maganda ya korosho
Ujinga wao ni kwamba kila wanapoambiwa ije FBI kuchunguza ishu ya Ben sanane hawataki ya lisu hawataki Sasa inamaana serikali inamkingia kifua mbowe? Inamaana serikali ya CCM inàmapenzi makubwa na mbowe mbona inamlinda Kama ni kweli ruhusuni FBI watue hapa ili mbowe aumbuke.
 
Mnaonaje mumshtaki mbowe au iteni FBI ili mbowe achunguzwe kwanini hamtaki au nyie ndio mnamkingia kifua?
 
Sasa wewe andika hoja against hizo matusi ya nini?
 
Sasa wewe ndiyo wala ueleweki! Unachokipinga ndicho unachokifanya. Unasema CCM kazi kuongelea vyama vya upinzani, wakati wewe mwenyewe kazi yako ni kuongelea chama tawala.
 
Sasa wewe ndiyo wala ueleweki! Unachokipinga ndicho unachokifanya. Unasema CCM kazi kuongelea vyama vya upinzani, wakati wewe mwenyewe kazi yako ni kuongelea chama tawala.
Kwasababu hata cdm wakikaa kimya mtawataja tu Yani kweli mnaogopa mzimu wake.
 
Wewe stupid kabisa, kwa hiyo unataka kusema kuwa Mbowe ndo alimpoteza Ben Saanane?
Na pia alimuua Diwani?
Yaani wewe upumbavu wako hautakusaidia lolote hapa Duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hizi porojo zimerudi tena.
Watuwameomba uchunguzi na number yake simu mmeigawa.
Nyuzi kibao zipo humu zina ushahidi kibao lakini mlipiga kimya.
 
Sisi ni nchi huru tunaweza kujisimamia mambo yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi ni nchi huru tunaweza kujisimamia mambo yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu utopolo ulioandika unakusuta mpaka moyoni kama cc Ni nchi huru na tunaweza kujisimamia wenyewe kwanini mnawafumbia macho wahalifu wanaouwa watu? Kama tukisema mnakumbatia wahalifu tunakosea? Umemtuhumu mbowe hii maana yake unaweza kuisaidia polisi fanya hivyo vinginevyo haya ni majungu ya mtaka vyeo wà mataga kwa mgongo wa mbowe wajinga kabisa nyinyi hivi unajisikiaje kuwa DC au mp baada ya kuumiza mioyo watu na kuwachafulia heshima zao kwenye Jamii halafu kesho mnaenda kanisani kusali baba yetu uli mbinguni jina lako litukuzwe ...... Yani mtachomwa moto nyie .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…