Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Japo huna akili basi waza kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeisha tu huna jipya.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo huna akili basi waza kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ameongea kinyume mkuu maana alichoandika kina point fingers at them hebu imagine wanavyomtafuta mbowe wangekuwa na ushahidi wa yote wanayomtuhumu nayo wangemuacha?

Kuanzia wangwe lisu na Ben wameshaambiwa walete wachunguzi huru hawataki wanamsingizia gharama gharama mbele ya haki?
 
Japo huna akili basi waza kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ameongea kinyume mkuu maana alichoandika kina point fingers at them hebu imagine wanavyomtafuta mbowe wangekuwa na ushahidi wa yote wanayomtuhumu nayo wangemuacha?

Kuanzia wangwe lisu na Ben wameshaambiwa walete wachunguzi huru hawataki wanamsingizia gharama gharama mbele ya haki?
 
Ndiyo maana nimemkoti kwa sentence hiyo maana upumbavu umejaa vichwani mwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iwapo maono yako yapo hivyo. Jee huoni muda unaotumiwa na Mbowe na wabunge wa chadema kumuandama Raisi , na hata wameyasahau majimbo yaliyowapa fursa ya kuwa wabunge, wamesahau jukumu lao la kuwawakilisha wananchi waliowapigia kura.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kikwete si mmemtuka matusi ya nguoni wakati wa utawala wake nyinyi bavicha.leo mnatoa shukrani za kinafki ?
kwanza kikwete ni chama gani ?
ufipa amjui hata kujitetea,!!,

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ulimwona kikwete akifanya utoto mnaofanya sikuhizi? Mjaribu kuwa na afya njema ya akili. Haya mnayofanya dhidi ya watanzania wenzenu ni utoto wa kiutuuzima,lakini hayatawafikisha Popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumba
 
Kwahiyo uchubguzi wa kifo chake ndio unataka kuanza leo baada ya Lijualikali kuhama chama??
 
Una roho ya kishetani kama ya lile jitu unalotaka likupe cheo na wote mtalaniwa.
 
 
Mbowe kwa jinsi anavyotajwa kuwa anauwezo wa kupanga mauaji na kusipatikane ushahidi basi ni mtaalamu mkubwa sana na mwenye mbinu Kali. Nashindwa kuelewa kwa nini hajawapoteza watesi wake waliovunja biashara zake, waliofanya njama kumuweka gerezani siku 104 na maovu mengine?
Mbona kwa sifa mbaya wanazo mzushia inaonyesha hata jiwe anaweza kuliondoa? Kwa nini hafanyi hivyo?
Mnapoteza muda wenu na Mbowe huku wananchi wameshaelewa nia yenu na Mungu anampandisha juu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe uliyejua na kuficha ndo mbaya zaidi. Hivi mashamba tu na yanavotesa mtu kama Mbowe atoe mtu roho! Peleka ushahidi polisi.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
kisema lissu alitaka kuuliwa na mbowe unaonekana LIJINGA USIE NA AKILI
 
Wanasiasa wanaweza kudhuriana kwa sababu za maslahi ya kisiasa sio mashamba katika nchi yenye ardhi tele ya Tz. Mwongo huchagua lolote.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi huwa mnapataga wapi muda wakuandika ujinga mrefu hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…