Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Tuhuma hii ulizotoa isingekuwa kuna mtu nyuma yako ungefunguliwa kesi ya Cyber Crime kwa kuwa unatumika ndio maana umepata GUTS za kuandika Upupu wako.

Yaani wewe ni kichwa maji kabisa,unadiliki kusema mbowe anahusika na kupotea kwa Ben na Kupigwa risasi Tundu Lissu,are you seriously? Really? Ulimsikiliza Zitto alivyochangia bungeni kuhusu kupotea kwa Ben? Ulisikia alivyosema walivyofuatilia polisi aliambiwaje? Kupigwa risasi tundu lissu mbowe ndio aliyeondoa walinzi getini? Mbowe ndio aliyeondoa CCTV camera? Mbowe ndio aliyekataza wachunguzi wa Nje Scotland Yard wasije kuchunguza tukio la kupotea Ben na kupigwa risasi Tundu?

Hata kama ni njaa hiyo yako imezidi.
 
Kwa Tuhuma hii ulizotoa isingekuwa kuna mtu nyuma yako ungefunguliwa kesi ya Cyber Crime kwa kuwa unatumika ndio maana umepata GUTS za kuandika Upupu wako.

Yaani wewe ni kichwa maji kabisa,unadiliki kusema mbowe anahusika na kupotea kwa Ben na Kupigwa risasi Tundu Lissu,are you seriously? Really? Ulimsikiliza Zitto alivyochangia bungeni kuhusu kupotea kwa Ben? Ulisikia alivyosema walivyofuatilia polisi aliambiwaje? Kupigwa risasi tundu lissu mbowe ndio aliyeondoa walinzi getini? Mbowe ndio aliyeondoa CCTV camera? Mbowe ndio aliyekataza wachunguzi wa Nje Scotland Yard wasije kuchunguza tukio la kupotea Ben na kupigwa risasi Tundu?

Hata kama ni njaa hiyo yako imezidi.
Kitulize sindano iingie acha kelele. Mbowe ataozea jera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe kamatia hapo hapo....kinachokuponza ni uchaguzi wa 2015...hali ilikuwa tete....na kumpleka jamaa Kenya kwenye matibabu..haya yatapita vumilia tu....si muda mrefu utakakula mbivu.
 
WanaLumumba na Benson Mramba,
Mjue si wote mtasamehewa kama Musiba mtatolewa kafara kwa kufanya cybercrime

ACP Barnabas Mwakalukwa azungumzia - A Crime Triangular, cyber space, cybercrime , cyber location , Offender ....victim of crime, terrorism.. How you can protect...

 
Kama hadi wewe unanifahamu na hauko Dar wala Tanga huoni kama mimi ni maarufu tayari? Na bado unapata hata nafasi ya kusoma na kuchangia nilichoandika sitaki umaarufu zaidi ya huo
Ndugu zako wafanye kisomo urudie hali yako ya kawaida ya zamani!!!
 
WanaLumumba na Benson Mramba,
Mjue si wote mtasamehewa kama Musiba mtatolewa kafara kwa kufanya cybercrime

ACP Barnabas Mwakalukwa azungumzia - A Crime Triangular, cyber space, cybercrime , cyber location , Offender ....victim of crime, terrorism.. How you can protect...

 
ee mungu muumba mbingu na nchi mbowe ataenda kujibu nini mbele za mungu kwa jinsi alivyo lowa damu kwenye mikono yake kwa maslai yake ya kisiasa hapa duniani.

Mbowe akumbuke dunia tunapita tu na wote tutakufa sasa kwa nini anadhulumu nafsi za watu kwa maisha mafupi ya duniani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe ameuwa wengi sana zipo pia tetesi za kutaka kumuuwa zito. Kupanga mumuuwa Dada yeke kisa mali za ukoo kumbuka huyu Dada alikufa kama Regia mtema na chacha Wagwe vifo vyao vinamalalamiko ya mbowe kuhusika

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiona hivyo ujue una vyombo vya dola dhaifu. Tuhuma zote hizo Mbowe asiwe kwenye mikono ya sheria? Ingekuwa. Mbowe yuko madarakani hizi tuhuma angeweza kuzizima, kama kama zilivyozimwa tuhuma za shambulio la Lissu. Kizazi hiki au cha mazoba kama zamani useme mtawakamata kwa propaganda uchwara.
 
Hilo shamba lilikuwa na ukubwa gani ama kama ni kununua mpunga walinuua kiasi gani na walikuwa wanauhifadhi wapi?

Kwa ivo unapoandika "huenda" unamaanisha huna hakika. Sasa kama wewe huna hakika unataka tujadili jambo ambalo wewe mwenyewe huna hakika nalo??

Kwa ivo na hao wabunge pia unawatuhumu kushirikiana na Mbowe kufanya uhalifu??

Huu tena si ukweli bali ni hisia zako!!??

Kwa mara nyingine tena umeleta mambo ya hisia.
Sawa Polisi/mpelelezi/Interrogator

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona hivyo ujue una vyombo vya dola dhaifu. Tuhuma zote hizo Mbowe asiwe kwenye mikono ya sheria? Ingekuwa. Mbowe yuko madarakani hizi tuhuma angeweza kuzizima, kama kama zilivyozimwa tuhuma za shambulio la Lissu. Kizazi hiki au cha mazoba kama zamani useme mtawakamata kwa propaganda uchwara.
Dhaifu wakati mbowe amekamatwa na kukaa jera miezi minne na wewe ulikuwa unaliahapa eti wanamwonea

Sasa subili hii ya mauaji uone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom