Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
DUUH! KWELI BINADAMU WAKIAMUA KUKUCHAFUA NA KUKUSHUSHA HAWAKUACHI SALAMA
SAFARI HII MBOWE HACHOMOKI KWA HAWA VIUMBE
WAMEMUAMULIA KWAKWELI.... [emoji27][emoji27][emoji27]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kila siku Uzi ni juu ya mbowe tu? Hapana mtamtenda Mungu dhambi kama, mbowe hana dola angekuwa ametiwa nguvuni na intelegensia ya Tanzania, for this moment I stand with mbowe
 
DUUH! KWELI BINADAMU WAKIAMUA KUKUCHAFUA NA KUKUSHUSHA HAWAKUACHI SALAMA
SAFARI HII MBOWE HACHOMOKI KWA HAWA VIUMBE
WAMEMUAMULIA KWAKWELI.... [emoji27][emoji27][emoji27]


Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ni ujinga huu wanaofanya,hawa watu wazima waongo wanavyozidi kushika chati nchin,wataitumbukiza pabaya sana nchi hii,hasa vizazi hivi vinavyokuja,wakutane Na midume inayojikomba kwa ajili ya matumbo yao,tutawaharibu watoto Wetu wakiiga hii tabia

mwongo atofautiani Na mchawi
 
Mimi kinachonisikitisha Kwa sasa, ni kuona Watanzania wengi wakiongezeka Kwa Kasi kuwa na chuki na Mzee Mbowe,

Na chuki Yao ikihusisha maswala magumumagumu Sana, Jambo la Kwanza unajiuliza

Je, Watanzania wamekumbwa na nini kiasi cha kumchukia hivi mh Mbowe?

Je, Mbowe Kwa sasa amekumbwa na gundu ghafla kiasi cha kukaa akisemwa semwa na kuchukiwa

Au, ni kweli kwamba yanayosemwa yanaukweli, na Kwa nini iwe nyakati hizi ambazo ukizipima zimekuwa ni nyakati ambazo joto la siasa limekuwa liko juu Sana?

Ni Kwa sababu aliokuwa akifanya nao mambo Kwa Siri wengi wao wemeamua Kuokoka na wengine wao kufukuzwa?

Kwa kuwa kazi ya shetani ukiamua kumtumikia ni lazima tu siku moja akuaibishe,Je shetani sasa ameamua aanze kumdharilisha mh.?

Lakini swali langu gumu hasa Kwa hao wanaotangaza maasi ya Mh!

Mnadhani kwamba yeye Mh, ameamua kujichoka ili Hali akijua kwamba Kwa namna yoyote iwavyo hawezi kuanza kujiingiza kwenye Moto huku akijiona, Mnadhani kwamba, ni rahisi kwake kukorofishana na watu wenye Siri zake ili ajikamatishe police?

Hizi sio mihemko tu ya kisiasa?

Na Kwa nini ninyi mnaomshambulia Mh, Kwa dhambi kubwa hizi zisizovumilika Kwa namna yoyote Ile, Kwa Taifa na Jamii, Kwa nini sasa msjitokeze hadharani kutafuta wadhamini kama mtahitaji hivyo ili Mbowe afikishwe mahakamani mkiwa na ushahidi huu mnaoendelea kuandika humu

Na la sivyo, Chadema sasa mfike pahala muwafungilie mashitaka watu hawa, Kwa sababu tuhuma hizi zinaendelea kukichafua Chama na m/kit wenu,

Ama mh Mbowe sasa aingie mahakamani mwenyewe, Kwa Maana akinyamaza watu wataamini hivyo
 
Hakuna kitu dhaifu kikaonea

Sent using Jamii Forums mobile app

Udhaifu ni kushindwa kufanya kwa usahihi jukumu lako, kuonea ni matumizi mabaya ya mamlaka yako. Sasa udhaifu hapo upo kwenye kushindwa kutekeleza majukumu stahiki kwa usahihi, kisha ukatumia mamlakani yako vibaya kumkandamiza mwingine. Nadhani kwa sasa umepata utofauti wa haya maneno mawili.
 
Yaani nyie mkilala mnaibuka na mambo yasiyo na mbele wala nyuma kisa CHADEMA. Yaani huwa mnajifanya kuwa mna huruma sana na CHADEMA wakati kila sekunde mnatamani ife ili mfanye sherehe!!

Sisi ni kama kitindi cha ulanzi. Ukikata mwanzi lazima mwingine uchipue!!

View attachment 1458458
Kitindi cha Ulanzi!!
Umemaliza kazi

In God we Trust
 
Hujielewi! Ni nani tunaemlipa kulinda watu na mali zao!?
Nani anaechunguza kukamata na kushtaki!?

Utamlalamikia vipi mtu anaeuwa watu kwa maslai yake, badala ya kulalamika kwa nn polisi hawamkamati?

Waliompiga diwani mapanga au waliompiga lisu risasi kama wametumwa na mbowe ndo hawatakiwi kukamatwa!?
ee mungu muumba mbingu na nchi mbowe ataenda kujibu nini mbele za mungu kwa jinsi alivyo lowa damu kwenye mikono yake kwa maslai yake ya kisiasa hapa duniani.

Mbowe akumbuke dunia tunapita tu na wote tutakufa sasa kwa nini anadhulumu nafsi za watu kwa maisha mafupi ya duniani ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom