Diwani wa Kawe, Mutta Rwakatare adaiwa kupotea tena. Ndugu wamkosa kwa Ashura wa Tabata

Mshahara wa dhambi ni mauti, itakufaidia Nini ukipata wanawake wote duniani, alafu ukatupwa kwenye ziwa la Moto, kifo kinakuja, ipo siku kila mmoja atatoa hesabu ya aliyoyatenda duniani!
Yakobo 4:4
Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu.
Mathayo 16:26
Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?

Mathayo 16:27
Kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…