Ila mie kupigwa vikofi vya Mwanamke navipendaga sana!! tamu au mbaya zaidi akiwa mdogo mdogo weee! raha sana! kupigwa na mwanamke wajameni mweee!! sijui mna nini?? asee!
Halafu naonaga mkinuna mnapendeza zaidiii!!.....lkn eti mkiletewa zawadi baasi mnacheka, halafu siku hiyo mmmm! nisiseme sana! eti huwa ni nini ile??
Eti mkirudiga kwenu kwa nini siku nikija kuangukia mnakuwaga na bashasha sana?? ujue mie simuelewagi Ba mkwe, eti sasa sikia mwenzangu...... mie nilienda kuangukia!! siku nafika tu, ba mkwe na mkewe wakaenda shamba!!
tukabaki wenyewe tu home!! usiku eti nikatandikiwa na bibie wajameni si majaribu hayo!! Mbususu imevimba hiyo nikajisemea cha kufia nini mie sogeza fanya kweli, basi ndo ikawa tena! ila kuangukia bana daaa!
usirudiga kwenu!
unasikia! make ni km una anza moja kubwa!