Diwani wa Kawe, Mutta Rwakatare adaiwa kupotea tena. Ndugu wamkosa kwa Ashura wa Tabata

Diwani wa Kawe, Mutta Rwakatare adaiwa kupotea tena. Ndugu wamkosa kwa Ashura wa Tabata

Watoto wa wachungaji huwa wanaandamwa sana na shetani na kama hatua haijachkuliea huyu jamaa hatochukua 5yrs atapotea mazima.Nadhani inatokana na kwamba wakati mchungaji unapambana na shetani na shetani anaona hakuweZi basi anatumia watoto kukudhuri,kuna yule mchungaji /mwalimu mtoto wake alijinyonga so you can imagine pain aliyofeel
 
[emoji1787][emoji1787]mimi kitu siwezi vumilia ni kipigo, hata kofi tu narudi kwetu kuanza moja
Ila mie kupigwa vikofi vya Mwanamke navipendaga sana!! tamu au mbaya zaidi akiwa mdogo mdogo weee! raha sana! kupigwa na mwanamke wajameni mweee!! sijui mna nini?? asee!

Halafu naonaga mkinuna mnapendeza zaidiii!!.....lkn eti mkiletewa zawadi baasi mnacheka, halafu siku hiyo mmmm! nisiseme sana! eti huwa ni nini ile??

Eti mkirudiga kwenu kwa nini siku nikija kuangukia mnakuwaga na bashasha sana?? ujue mie simuelewagi Ba mkwe, eti sasa sikia mwenzangu...... mie nilienda kuangukia!! siku nafika tu, ba mkwe na mkewe wakaenda shamba!!

tukabaki wenyewe tu home!! usiku eti nikatandikiwa na bibie wajameni si majaribu hayo!! Mbususu imevimba hiyo nikajisemea cha kufia nini mie sogeza fanya kweli, basi ndo ikawa tena! ila kuangukia bana daaa!

usirudiga kwenu!

unasikia! make ni km una anza moja kubwa!
 
Urithi waliokuwa nao ni hard assets zinazoleta pesa nyingii.

Hawa urithi wao sio wa kuisha kizembe zembe

Huyo diwani tabata bima ana appartments zaidi ya 40 anakusanya kodi tu.

Bado assets zingine
Zilifisika blackberry na nokia mzee zeilikua na assets za matrillioni
 
Nimekuja gundua kuumbe hili jamaa wanalosema limepotea ni kuuubwa sana kuliko hata mie. nilidhania nika kijana tu kumbe jitu zima lina mi ndevu!....kunakipindi cha ujana huyu alikiruka ajili ya gate kali! ndo maana ako ivi

si alisomea USA huyu?? vidada vya kizungu hakuviona kwani? hata viafrica vipo vingi tu au ndo sheria ya Mama ilikuwa kali??....sasa papuchi za kiswahili zina mzuzua tena Mama mwenyewe yule anaemzuzua ni Menapouse kabisaaa!

Bora kangekuwa 16 hivi mpaka 28 humoo sawa sasa lijimamaa lile mweee
 
Ila mie kupigwa vikofi vya Mwanamke navipendaga sana!! tamu au mbaya zaidi akiwa mdogo mdogo weee! raha sana! kupigwa na mwanamke wajameni mweee!! sijui mna nini?? asee!

Halafu naonaga mkinuna mnapendeza zaidiii!!.....lkn eti mkiletewa zawadi baasi mnacheka, halafu siku hiyo mmmm! nisiseme sana! eti huwa ni nini ile??

Eti mkirudiga kwenu kwa nini siku nikija kuangukia mnakuwaga na bashasha sana?? ujue mie simuelewagi Ba mkwe, eti sasa sikia mwenzangu...... mie nilienda kuangukia!! siku nafika tu, ba mkwe na mkewe wakaenda shamba!!

tukabaki wenyewe tu home!! usiku eti nikatandikiwa na bibie wajameni si majaribu hayo!! Mbususu imevimba hiyo nikajisemea cha kufia nini mie sogeza fanya kweli, basi ndo ikawa tena! ila kuangukia bana daaa!

usirudiga kwenu!

unasikia! make ni km una anza moja kubwa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee, ila una sound kama mtu ninae kufahamu uwiii naomba isiwe kweli[emoji41]
 
Watoto wa wachungaji huwa wanaandamwa sana na shetani na kama hatua haijachkuliea huyu jamaa hatochukua 5yrs atapotea mazima.Nadhani inatokana na kwamba wakati mchungaji unapambana na shetani na shetani anaona hakuweZi basi anatumia watoto kukudhuri,kuna yule mchungaji /mwalimu mtoto wake alijinyonga so you can imagine pain aliyofeel
Hahaha,unajua nini hii familia hakuna mwenye afadhali
Muta ndiyo hivyo tena Ana matatizo yake yanajulikana
Ukija kwa tibe naye anasongombigo lake ugomvi kila kukicha na mke wake mkurya.....tib...ashakimbizwa sana na kisu na mke wake mkurya
Ukija yule mtoto wa kike naye mhongaji [emoji1]
Ila familia ni vituko tosha
Pesa ipo lakini hawana raha pesa zinawatesa

Ngoja niendeleee kupiga bia zangu hapa lamamas mikocheni.....aliyekaribu asogeee jamani tupige cheers

Ova
 
Hahaha,unajua nini hii familia hakuna mwenye afadhali
Muta ndiyo hivyo tena Ana matatizo yake yanajulikana
Ukija kwa tibe naye anasongombigo lake ugomvi kila kukicha na mke wake mkurya.....tib...ashakimbizwa sana na kisu na mke wake mkurya
Ukija yule mtoto wa kike naye mhongaji [emoji1]
Ila familia ni vituko tosha
Pesa ipo lakini hawana raha pesa zinawatesa

Ngoja niendeleee kupiga bia zangu hapa lamamas mikocheni.....aliyekaribu asogeee jamani tupige cheers

Ova
Saivi Humphrey ndio ataanza kuonekana afadhali🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom