Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Stress freeHuyu naye kichomi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stress freeHuyu naye kichomi.
Kiongozi wa CCM huyo.Ndio hivyo kwa yeyote atakayemuona atupe taarifa
Pia soma
- Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
- Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke
- Diwani Mchungaji Mutta Rwakatare aliyepotea na kukutwa na Polisi kwa mrembo Ashura wa Tabata Dar es salaam aahidi kutopotea tena
View attachment 2419257
Huna Akili ( Juha ) nimemtetea wapi katika hayo Maelezo yangu dhidi yake? Naomba nionyeshe nilipomtetea Mla Bwimbwi huyo maarufu Kawe na Mbezi Beach.Acha kutetea ujinga. Mwambie anajidharilisha na kutia aibu kanisa maana yeye ndio mchungaji msaisizi wa mlima wa Moto.
[emoji16][emoji16][emoji16]Ameshatugeuza sisi wenzake wa kucheza nae kombolela.
Nimependa Maandiko yanajieleza kabisa kuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yakeMshahara wa dhambi ni mauti, itakufaidia Nini ukipata wanawake wote duniani, alafu ukatupwa kwenye ziwa la Moto, kifo kinakuja, ipo siku kila mmoja atatoa hesabu ya aliyoyatenda duniani!
Yakobo 4:4
Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu.
Mathayo 16:26
Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
Mathayo 16:27
Kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Huyo si ni mchungaji huyo!!? Sasa kwa Fatuma ameenda kufuata nini!?Kwa Fatuma Magomeni.
Kuombewa.Huyo si ni mchungaji huyo!!? Sasa kwa Fatuma ameenda kufuata nini!?
Safari hii atakuwa kwa Bi Aisha kwa MparangeNdio hivyo kwa yeyote atakayemuona atupe taarifa
Pia soma
- Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
- Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke
- Diwani Mchungaji Mutta Rwakatare aliyepotea na kukutwa na Polisi kwa mrembo Ashura wa Tabata Dar es salaam aahidi kutopotea tena
View attachment 2419257
Kananukia harufu ya mbususu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kajamaa kanaonekana kazinzi sana,angalia mdomo na macho yake
Kuonyeshwa mfinyo.Huyo si ni mchungaji huyo!!? Sasa kwa Fatuma ameenda kufuata nini!?
Mbwa kumbwa! Huyu mpuuzi kuna kitu anakitafuta na atakipata hivi punde. Kama hawezi kutulia si aoe tu. Kwani hawa wasichana wote wasiokuwa na waume waliojaa kwenye kanisa la mama yake amekosa hata mmoja wa kumuoa amtulize? [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
View attachment 2419576
2 Wakorintho 7:1Nimependa Maandiko yanajieleza kabisa kuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake
Sasa kuna wapuuzi wanasema kuvaa kikahaba sio vibaya kubwa Mungu anaangalia moyo wako Tu, ukweli ni kwamba Mungu anaangalia moyo na matendo yako.
Amekataza uzinzi lakini unavaa katika namna ya kuhamasisha uzinzi halafu unadhani utakuwa salama?
Pumbavu Sana!
Huna Akili ( Juha ) nimemtetea wapi katika hayo Maelezo yangu dhidi yake? Naomba nionyeshe nilipomtetea Mla Bwimbwi huyo maarufu Kawe na Mbezi Beach.
Kawaida yao usishangaeKajamaa kanaonekana kazinzi sana,angalia mdomo na macho yake