Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

We mtakatifu Baki. Ila nikwambie. Lugha ya Mungu Ni tofauti wabaya na wanaojudge wengine kwa kidole kimoja huishi muda mrefu. Ila wewe hautakufa kabisa mana uko makini
Have a nice day
 
ndio huko huko huyu diwani wa pili anafia kifuani eneo hilo hilo kwa kwanza ni yule diwani chale nae alifia nyumba ndogo kwa kupaka vumbi la congo

Chale alifia kifuani kumbe!? Mweeh!. Basi watoto wa mitaa ile itakuwa wako moto fire
 
Hivi wewe unalijua vumbi la Congo na je, umeshawahi kulitumia kweli...?
Ile kitu haina madhara yoyote na mapigo ya moyo maana hainywewi kama "Viagra" au "Alkasusu".
Huyo mzee wenu atakua alimeza "Viagra 150mg mixer pombe kali" ndio vikamtoa roho kwa kumpandisha pressure.

Kwani Vumbi la Congo linakufanya uchelewe kukojoa au linafanya mboo iwe wima muda mrefu? Kwani Viagra inachelewesha duuh! Maana hata sijui
 
Kwani Vumbi la Congo linakufanya uchelewe kukojoa au linafanya mboo iwe wima muda mrefu? Kwani Viagra inachelewesha duuh! Maana hata sijui
Hiyo vumbi la kongo sjui mundende inafanya dude kuwa na ganzi tu,alafu kongo wanaitumia hiyo kwa ajili ya kutahiri
Hii kitu kitambo nliona kongo na kazi nliambiwa huko,sema watu wamebadilisha
Matumizi

Ova
 
Huyo muhudumu alishindwa kupiga simu tuje tumuokoe huyo kizee?
 
Back
Top Bottom