MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #161
Mbona unamtisha jamaa hivyo?
Anayeenda kumuona huwa hana mzaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unamtisha jamaa hivyo?
Ananichefua balaa...ananipangia akiwa nani yyHehehheh..
Na wewe umo kwenye madole?
ndio huko huko huyu diwani wa pili anafia kifuani eneo hilo hilo kwa kwanza ni yule diwani chale nae alifia nyumba ndogo kwa kupaka vumbi la congoIvi mbagala kuu na kijichi ni sehem mmoja au tofauti?
WANAUME WENZANGU HII TABIA YA KUTUMIA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME MTAKUFA WENGI SANA,ZILE ZINAFANYA MAPIGO YA MOYO YANAKUWA JUU
Dah, umenikumbusha rafiki yangu Neema 😀 😀Marehemu alitaka kushindana na sehemu alipotokea!!
WANAUME WENZANGU HII TABIA YA KUTUMIA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME MTAKUFA WENGI SANA,ZILE ZINAFANYA MAPIGO YA MOYO YANAKUWA JUU
🤣 🤣 🤣 🤣 I have never tried that stupidity so called vumbi la congo, energy drinks, mkuyati and the like, ili nipate kukojo magoli marefu. Unajiua kwa malengo ya muda mfupi ya kutaka kumridhisha mtoto wa mtuInawezekana alipiga viagra apate value for his money.
Age consideration matters in such decisions, when you are 50+ don’t compare yourself with a 25 yrs old young man. Other wise we are going to wish you RIP.🤣 🤣 🤣 🤣 I have never tried that stupidity so called vumbi la congo, energy drinks, mkuyati and the like, ili nipate kukojo magoli marefu. Unajiua kwa malengo ya muda mfupi ya kutaka kumridhisha mtoto wa mtu
ndio huko huko huyu diwani wa pili anafia kifuani eneo hilo hilo kwa kwanza ni yule diwani chale nae alifia nyumba ndogo kwa kupaka vumbi la congo
DuhOya huu Uzi ni wa kuhusu Diwani na Upumbavu wake wa Umalaya na Kufia Kiunoni na siyo hizi Pumba zenu zingine sawa? Sijaanzisha ( sijauleta ) ili muanze kutumiana Salamu na Kukumbushana kama vile mpo Hewani Kipindi cha Salamu Radio One Stereo.
Kama mnajuana au mnatoka Kijiji Kimoja au ni Wakulima nendeni huko PM mkapeane miadi mkutane wapi ili muyajenge na mjikumbushie Maisha yenu ya huko Vijijini mlikokuzoea sawa? Tafadhali mfikishie upesi huu Ujumbe na huyo Mbwiga ( Mshamba ) Mwenzako.
Kabisa. Lakini at that 50+ yrs unatafuta nini ambachp hujakutana nacho miaka yote?Age consideration matters in such decisions, when you are 50+ don’t compare yourself with a 25 yrs old young man. Other wise we are going to wish you RIP.
Wamasai wanakosa gan tenaWalaumuni Wamasai wa Tegeta na Ilala.
Kabisa. Lakini at that 50+ yrs unatafuta nini ambachp hujakutana nacho miaka yote?