Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

WANAUME WENZANGU HII TABIA YA KUTUMIA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME MTAKUFA WENGI SANA,ZILE ZINAFANYA MAPIGO YA MOYO YANAKUWA JUU
 
Ivi mbagala kuu na kijichi ni sehem mmoja au tofauti?
ndio huko huko huyu diwani wa pili anafia kifuani eneo hilo hilo kwa kwanza ni yule diwani chale nae alifia nyumba ndogo kwa kupaka vumbi la congo
 
Asilimia kubwa msichana hana kosa ,alipoona viagra imemzidi mzee alisepa , viagra sio mchezo , inabidi upate ushauri kabla ya kutumia .

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Picha yake please.
Tunataka tujue alivyo kama umalaya ni tabia yake au alikuwa anajaribu zari.
 
Roho inatokea guest house directly to the heaven gate
 
Inawezekana alipiga viagra apate value for his money.
🤣 🤣 🤣 🤣 I have never tried that stupidity so called vumbi la congo, energy drinks, mkuyati and the like, ili nipate kukojo magoli marefu. Unajiua kwa malengo ya muda mfupi ya kutaka kumridhisha mtoto wa mtu
 
🤣 🤣 🤣 🤣 I have never tried that stupidity so called vumbi la congo, energy drinks, mkuyati and the like, ili nipate kukojo magoli marefu. Unajiua kwa malengo ya muda mfupi ya kutaka kumridhisha mtoto wa mtu
Age consideration matters in such decisions, when you are 50+ don’t compare yourself with a 25 yrs old young man. Other wise we are going to wish you RIP.
 
ndio huko huko huyu diwani wa pili anafia kifuani eneo hilo hilo kwa kwanza ni yule diwani chale nae alifia nyumba ndogo kwa kupaka vumbi la congo

Hivi wewe unalijua vumbi la Congo na je, umeshawahi kulitumia kweli...?
Ile kitu haina madhara yoyote na mapigo ya moyo maana hainywewi kama "Viagra" au "Alkasusu".
Huyo mzee wenu atakua alimeza "Viagra 150mg mixer pombe kali" ndio vikamtoa roho kwa kumpandisha pressure.
 
Oya huu Uzi ni wa kuhusu Diwani na Upumbavu wake wa Umalaya na Kufia Kiunoni na siyo hizi Pumba zenu zingine sawa? Sijaanzisha ( sijauleta ) ili muanze kutumiana Salamu na Kukumbushana kama vile mpo Hewani Kipindi cha Salamu Radio One Stereo.

Kama mnajuana au mnatoka Kijiji Kimoja au ni Wakulima nendeni huko PM mkapeane miadi mkutane wapi ili muyajenge na mjikumbushie Maisha yenu ya huko Vijijini mlikokuzoea sawa? Tafadhali mfikishie upesi huu Ujumbe na huyo Mbwiga ( Mshamba ) Mwenzako.
Duh

Ova
 
Age consideration matters in such decisions, when you are 50+ don’t compare yourself with a 25 yrs old young man. Other wise we are going to wish you RIP.
Kabisa. Lakini at that 50+ yrs unatafuta nini ambachp hujakutana nacho miaka yote?
 
Back
Top Bottom